beefinjector
JF-Expert Member
- Jul 23, 2009
- 2,458
- 2,496
Umeelewa anachodai lakini? Na nyie kila siku mnawasema wasanii kuwa hawajui kudai maslahi yao. Mtu akidai mnamchenjia.Wabongo bwana nyimbo zenu zisipopigwa mnapiga kelele mnabaniwa. Zikipigwa ndio mnajitutumua. Mbona zinapigwa kwenye bar za pombe za kienyeji hamdai fidia?
Swali la msingi ni je anachodai kina merit? Hayo mengine ni speculation tu. Kama DSTV wali-violate rights za Ditto lazima washikwe koo, regardless how.Na unaweza shangaa akalipwa.
Hizi dili wasanii huwa wanafanya na wafanyakazi wa hizo kampuni wanazozidai.
Hela za kampuni kila mtu anazitaka. Hata wafanyakazi wa hizo kampuni wanazitaka hizo bilioni za mwajiri wao
AY kachoka lini? Kwa taarifa yako AY alikuwa yuko poa financially kabla hata ya hiyo kesi.AY mbona kama kachoka Sana na mke kamkimbia? Anaweza kweli kuwa alipata 2bn?
Ungeweka bank statement ya AY hapa ili kutetea kauli yakoAY kachoka lini? Kwa taarifa yako AY alikuwa yuko poa financially kabla hata ya hiyo kesi.
😀 😀 😀baada ya kuzipata na ndoa ikavunjikaaaAY kachoka lini? Kwa taarifa yako AY alikuwa yuko poa financially kabla hata ya hiyo kesi.
Mnyarwanda alikimbia ukata😀 😀 😀baada ya kuzipata na ndoa ikavunjikaaa
uchumba miaka 10 ndoa kufungwa ikadumu miezi mitatu...itakuwa mwanamke alizitaka helaaa 😀 😀Mnyarwanda alikimbia ukata
Si wanawapenda watu wa nje, sisi wadada wa kibongo wamatumbi wenzao wadangaji, Mrwanda kupelekwa USA kuishi bado kasepa.Mnyarwanda alikimbia ukata
🤣🤣View attachment 2822700
Mwanamuziki, Lameck Ditto amewasilisha vielelezo tisa wakati akitoa ushahidi katika kesi ya madai dhidi kampuni ya Multichoice Tanzania Limited, akiituhumu kutumia wimbo wake bila ridhaa yake katika kipindi cha kampeni ya Afcon 2019.
Ditto ambaye jina lake halisi ni Dotto Bernard Bwakeya ameiomba Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam iamuru kampuni hiyo imlipe fidia ya Sh6 bilioni kwa kutumia wimbo wa 'Nchi Yangu' aliodai ni wake kwenye matangazo yao ya biashara bila ridhaa yake.
Pia ameiomba Mahakama iamuru alipwe Sh200 milioni kutokana na madhara ya jumla, lakini pia alipwe riba ya asilimia 25 tangu siku alipofungua shauri hilo.
Akizungumza na wanahabari mara baada ya shauri hilo, Wakili wa Ditto, Elizabeth Mlemeta amesema kesi hiyo imeanza kusikilizwa na upande wa mdai una mashahidi watano.
Si waligawana courtMnyarwanda wa AY aache 1b akimbie? Hebu kuweni serious japo kidogo
Hakuna tatizo ni kwa ruhusa yanani mf. Mkeo umkute anampikia jirani nakumlisha halafu jirani anakuambia kwani kuna ubaya gani??Wabongo bwana nyimbo zenu zisipopigwa mnapiga kelele mnabaniwa. Zikipigwa ndio mnajitutumua. Mbona zinapigwa kwenye bar za pombe za kienyeji hamdai fidia?
Huyu AY kuna watu wanakuambia ana pesa ndefu sana ila hapendi kujionyesha. Anamiliki mjengo mkali sana kule California U.S.A (inasemekana lakini)AY mbona kama kachoka Sana na mke kamkimbia? Anaweza kweli kuwa alipata 2bn?
Inapopigwa kwenye baa inatangaza nini?Wabongo bwana nyimbo zenu zisipopigwa mnapiga kelele mnabaniwa. Zikipigwa ndio mnajitutumua. Mbona zinapigwa kwenye bar za pombe za kienyeji hamdai fidia?
Inatangaza biashara ya pombe ili walevi wajaze na mwenye bar 🍺 aingize kipato atajirike wakati aliyeutunga anadhindia mihogo na hata akienda kwenye hiyo bar hawezi kupewa hata bia ya bure. Na hii ni kwa magari yote ya promotion
Sasa billion 6 kwa DStv kitu unajua wanaingiza Pesa kiasi gan?Na unaweza shangaa akalipwa.
Hizi dili wasanii huwa wanafanya na wafanyakazi wa hizo kampuni wanazozidai.
Hela za kampuni kila mtu anazitaka. Hata wafanyakazi wa hizo kampuni wanazitaka hizo bilioni za mwajiri wao
Kiasi ebu tuambie?? Ww mjuajiSasa billion 6 kwa DStv kitu unajua wanaingiza Pesa kiasi gan?
Kifurushi cha Compact unalipia Shilling ngap kwa Mwezi?