Msanii Ditto afungua kesi ya Madai ya Tsh. Bilioni 6 dhidi ya Multi Choice (DSTV)

Na unaweza shangaa akalipwa.

Hizi dili wasanii huwa wanafanya na wafanyakazi wa hizo kampuni wanazozidai.

Hela za kampuni kila mtu anazitaka. Hata wafanyakazi wa hizo kampuni wanazitaka hizo bilioni za mwajiri wao
Swali la msingi ni je anachodai kina merit? Hayo mengine ni speculation tu. Kama DSTV wali-violate rights za Ditto lazima washikwe koo, regardless how.
 
🤣🤣
 
Wabongo bwana nyimbo zenu zisipopigwa mnapiga kelele mnabaniwa. Zikipigwa ndio mnajitutumua. Mbona zinapigwa kwenye bar za pombe za kienyeji hamdai fidia?
Hakuna tatizo ni kwa ruhusa yanani mf. Mkeo umkute anampikia jirani nakumlisha halafu jirani anakuambia kwani kuna ubaya gani??
Eti ubaya?? Ndio kuna ubaya kwa sababu ni kwa ruhusa ya nani
 
Inapopigwa kwenye baa inatangaza nini?

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Inatangaza biashara ya pombe ili walevi wajaze na mwenye bar 🍺 aingize kipato atajirike wakati aliyeutunga anadhindia mihogo na hata akienda kwenye hiyo bar hawezi kupewa hata bia ya bure. Na hii ni kwa magari yote ya promotion
 
Na unaweza shangaa akalipwa.

Hizi dili wasanii huwa wanafanya na wafanyakazi wa hizo kampuni wanazozidai.

Hela za kampuni kila mtu anazitaka. Hata wafanyakazi wa hizo kampuni wanazitaka hizo bilioni za mwajiri wao
Sasa billion 6 kwa DStv kitu unajua wanaingiza Pesa kiasi gan?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…