Msanii Ebitoke alia hadharani akimtaka Ben Paul kimapenzi

mbona kama anaigiza....bongomuvi bhana.[emoji23]
 
Nahisi Ben Pol atakuwa na kibamia tuu ndio maana anaepuka aibu, yani fursa mubashara imejileta yenyewe alafu mtu bado una remba tuu
 
Mapenzi ni kama watu walio kwenye mstari ulionyooka. Kila mtu anampenda aliye mbele yake.
 
Duh...!! Ebitoke eeh hii ni KIKI ama..??

Ila mtaendana wa kuwa wote mnaonesha mnapenda kupaka mafuta.,, Ebitoke unavyojisiliba hiyo mifuta usoni Duh., utadhani ugomvi
 
Ukute anaigiza.
Kudate na waigizaji yataka moyo manake unaeja jikuta unafall kumbe mwenzio anaigiza.
[emoji3][emoji3]me bado naamini hayuko serious, ni mwendelezo wa vichekesho vyake
 
Baada ya sterio na chemical kaibuka huyu tena.
 
Kama ambavyo wengi hamkuielewa sanaa ya kupakwa mafuta ya Ben, mmeshindwa pia kumuelewa Ebitoke
 
Huyu binti si bure malaria itakuwa amepanda kichwani awahishwe Mirembe
 
ngoja kwanza, hivi yule aliyempaka ben pol mafuta mgongoni mpaka kwenye msitari wa ikweta ni ke au me? nauliza tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…