Msanii gani Bongo ungemshauri aachane na mziki?

Diamond aache na aende tu kigombania ubunge sijui udiwani maana mziki ushamshinda kageukia siasa
 
Ni vyema mngekua mnawashauri na kazi gani zingine za kufanya ambazo zitawafaa zaidi sio unasema waache tu music kwa hisia zako sasa wakale wapi?
 
Wote na bongo movie pia wote
 
Kwa baba REVO uko sahihi sana hata kabla hatujacomment aache tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…