Tetesi: Msanii Gigy Money atafanikisha kazi aliyotumwa? Anaiweza? Atumiwe Konki Master (Dudu Baya)? Tujiandae kuona video?

Tetesi: Msanii Gigy Money atafanikisha kazi aliyotumwa? Anaiweza? Atumiwe Konki Master (Dudu Baya)? Tujiandae kuona video?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utavava sanaaaah na badooooh, c unateseka eeeeeh? Basi mie ndo naongeza dosage ili u umie zaidi. Hebu relaaaaaaaaaaaaaax msieeeeeeew
Unajua unaongeaga sana mpaka kwenye ukweli[emoji24][emoji24][emoji24]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utavava sanaaaah na badooooh, c unateseka eeeeeh? Basi mie ndo naongeza dosage ili u umie zaidi. Hebu relaaaaaaaaaaaaaax msieeeeeeew
Dose and dosage wazee wa pharmacology ufafanuzi tafadhali.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my TECNO 7C using JamiiForums mobile app
 
Inawezekana hupendi anachofanya Gigy ila sio vizuri kuwaingiza Wasafi. Wamtume Gigy kwa kuwa Nandy anawatishia kwa kipi alichonacho?

Gigy kapewa platform ya kusemea kama wasanii wengine wanavyopewa yakiibuka mambo mitandaoni.

Kuna sehemu Wasafi wamekukera ila acha kuwatungia uongo
Nimemshangaa sana mleta mada.
 
Fala wako kwenu huko na makaburi yenu yote!!huyo Nandy anaukubwa gani sasa hivi mpaka watu wauogope!?Nandy wa Ruge ndio huyu wa sasa?!huu si utopolo tu!Eti kushushwa alipanda lini huyo Nandy!?wakati sasa hivi Nandy anamhitaji Zuchu ili atrend!!kaa kwa kutulia jinga wewe
Reported
 
Huwa nawashangaa Sana wanaomshabikia nandy , kiufupi nandy ni kopo hamna kitu pale , utunzi zero , ngoma Bora aliyoimba nimekuja kugundua kumbe alitungiwa na mwenzake pale THT, Diamond hakuona value yyte kwake thus why hakumtoa , true talent ni Maua sama , ndo kipaji chenye ubongo active , kuhusu Zuchu siwez sema yupo overated, normal or underated , nampa miaka miwili Kwanza ya kuwa active kwenye game , japo nilichonote kwake mpak sa hv ni uwezo mkubwa wa kunyumbulika na aina ya wimbo , na anahtaj guidance ili aperform better .....


Kuhusu fitina , wivu na majungu ni sehemu ya maisha katika ulimwengu huu wa dhambi , you should fight for na sio kuomba excuse au kurun out , kama nandy ana kipaji kwel bas azihirishe umwamba kwa kufight na Zuchu , kwan yeye nandy yupo under highly experienced intertainment media na Zuchu yupo under WCB , so still battle ni fair ......

Ila nachojua Nandy hamna kitu Bora hata Maua sama
Well said.
 
Nandy ni manzi flani huwa hawajibu watu kwenye macho ya media lakini huwezi jua behind the scene anadeal nao vipi. Hiyo ni strength yake

Kingine Zuchu kwa sasa ndio anapewa promo na sishangai hata akija kuwa leading female artist kwa Tz maana nguvu ya WCB imeonekana kwa kumpush mtu kama harmo ambao talent ipo low lakini sasa ni jina kubwa...

By the way Yoyote anaesuka mipango ya zuchu anaisuka fresh lakini je, ataweza kumfanya zuchu kuwa international act kama Vee ??. Mtihani huo
Hapo hakuna msanii akaungane tu na mama yake kuimba taarabu, international unaijua wewe kwa mziki gani huyo chuchu alionao
 
Inawezekana hupendi anachofanya Gigy ila sio vizuri kuwaingiza Wasafi. Wamtume Gigy kwa kuwa Nandy anawatishia kwa kipi alichonacho?

Gigy kapewa platform ya kusemea kama wasanii wengine wanavyopewa yakiibuka mambo mitandaoni.

Kuna sehemu Wasafi wamekukera ila acha kuwatungia uongo
Huyu mtoa mada ana lake jambo
 
Hahaha yani Nandy ana ukubwa huo wa mpaka WCB kumuundia tume?? Sio kweli asee huyo nandy anakimbizwa na zuchu kila kona kwenye platforms huko kwa miezi mitatu hii yote toka atambulishwe ni wa kuundiwa zengwe kweli??.
Mtoa mada kashiba ugoro
 
Back
Top Bottom