TANZIA Msanii Golden Jacob Mbunda(Godzilla) afariki dunia

TANZIA Msanii Golden Jacob Mbunda(Godzilla) afariki dunia

Hata kama ni star najulikana kwa kitaa whats up..... Am supposed to be the same..
Haijalishi ninapokaa.. Mfukoni nina pesa kadhaa whats up... Am supposed to be the same.

One of his best song :The same-godzilla

R. I. P brother

dah
 
Yes, walikua wanambully sana. Kila anachopost wanambully. Mara zama zako zimepita
Mara pisha njia mara sijui blah blah. He was depressed. Nimeona issabella mtu wake wa karibu anasema sukari na presha vilishuka.
Dih ndoto za kijana mwenzetu zimekatika mapema sana. Ila jamaa alikuwa anabehave strangely recently nadhani kuna kitu hakikuwa sawa na kilikuwa kinamtatiza kiakili na kiafya pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu angalia comment yangu ni ya mwanzo mwanzo hapo,nimeamka sikuwa na taarifa na huu uzi nimeuona fasta baada ya kupostiwa sikuwaWVna taarifa yeyote,sasa hivi nafungua mitandao ndo nimeona.

Nashangaa wewe hata hukuwa na akili japo ya kujiongeza ukaona natania sijui.watu wengine bhana sijui mkoje aisee

Nilitamani nikutukane ila nikaona bora nikusche ila siku ingine jirekebishe mkuu.sio poa hata nini,sikuwa na taarifa zozote na swali langu wala halikuwa la kejeli.
Hivi kweli huyu yupo serious?
 
Yes, walikua wanambully sana. Kila anachopost wanambully. Mara zama zako zimepita
Mara pisha njia mara sijui blah blah. He was depressed. Nimeona issabella mtu wake wa karibu anasema sukari na presha vilishuka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuuu!!! Mtoto Doreen naye nasikia amechangia maana alimkolesha mchizi baadae akamwaga!!!!
 
Mkuu angalia comment yangu ni ya mwanzo mwanzo hapo,nimeamka sikuwa na taarifa na huu uzi nimeuona fasta baada ya kupostiwa sikuwaWVna taarifa yeyote,sasa hivi nafungua mitandao ndo nimeona.

Nashangaa wewe hata hukuwa na akili japo ya kujiongeza ukaona natania sijui.watu wengine bhana sijui mkoje aisee

Nilitamani nikutukane ila nikaona bora nikusche ila siku ingine jirekebishe mkuu.sio poa hata nini,sikuwa na taarifa zozote na swali langu wala halikuwa la kejeli.

First to reply zinawaponza.

Mbona heading ipo so clear?

Siku ingine ukiamka fungua macho vizuri at least piga maswali akili ichangamke then shika simu.

Ulikurupuka. Hata kunitukana it won't affect me.
 
Ulikuwa mdogo sana umetuachia majonzi, umetuacha katika giza tulitamani kusikia huo wimbo wako. Pumzika kwa amani Golden Jacob Mbunda
 
Mkuu angalia comment yangu ni ya mwanzo mwanzo hapo,nimeamka sikuwa na taarifa na huu uzi nimeuona fasta baada ya kupostiwa sikuwaWVna taarifa yeyote,sasa hivi nafungua mitandao ndo nimeona.

Nashangaa wewe hata hukuwa na akili japo ya kujiongeza ukaona natania sijui.watu wengine bhana sijui mkoje aisee

Nilitamani nikutukane ila nikaona bora nikusche ila siku ingine jirekebishe mkuu.sio poa hata nini,sikuwa na taarifa zozote na swali langu wala halikuwa la kejeli.
Taarifa ya awali si ndio hii mkuu? Au ilitakiwa usikie kutoka wapi?
 
Duuuuu!!! Mtoto Doreen naye nasikia amechangia maana alimkolesha mchizi baadae akamwaga!!!!
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji26] Ustar zigo la mwiba.. Kwa sasa kuna wanamziki wana Depression sana Kwa kuwaangalia tu unajua something is wrong na wanafight sana kurudi kwenye game lakini Raia wanakomaa na Kina Alikiba na Diamond[emoji26][emoji26][emoji26] Mtu kama Baraka the prince yani kaisha balaa.. Mavoko nae japo anachechemea..Kina Belle 9.. Q Chilla.. TID...Chid benz yani mpaka huruma.. Ray C nae naona anataka kurudi ila Hiyo nafasi naona kama alishaipoteza na ndio maaan Wasanii wengi madawa ya kulevya na bhangi ndo zinakuwa kimbilio lao.. Ustar kuupoteza na huna kitu sio kitu rahisis kukubali na kuishi nacho kabisaa Mungu awatie Nguvu sana hawa wasanii wetu aisee.. Mziki wa tz tatizo unakulipa ukiwa unahit tu yani Ukipotea kama hukujipanga Hata hela ya Kula unaweza kosaa...[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Mandinga wala mademu hakuna tena...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hilo swali ni la mshabgao.

Kama wewe ukiambiwa mama yako kafa lazima uulize kwa kushangaa EE KAFARIKI?
huo ni mshangao,nashangaa sana watu hamuelewi.
Mze wa kula panya unaanza sasa. Umeshaambiwa mtu kafa nauliza eti kafariki, jamani panya hawa wana madhara yake, si mnaona jinsi wanavyowaangamiza jamii ya kihehe?
 
Nazidi kuikumbuka Tanzania ya Nyerere ambapo makabuli yalikuwa machache yani tofauti kabisa na sasa ambapo kila kona kuna makabuli,pia ilikuwa sio kawaida kuona kijana mdogo amefaliki kwa magonjwa tulizoea kuona sisi vijana tukizika wazee ila sasa baada ya miaka mingi kibao kimenigeukia tena yani wazee ndio tunazika vijana sasa

Apumzike kwa amani,wazazi wake(kama wapo) mungu awape wepesi katika wakati huu maana uchungu wa kuzika mtoto naujua...

Sent using Jamii Forums mobile app
Inauma sana bro,We die too young......
 
Mkuu hilo swali ni la mshabgao.

Kama wewe ukiambiwa mama yako kafa lazima uulize kwa kushangaa EE KAFARIKI?
huo ni mshangao,nashangaa sana watu hamuelewi.


Sawa, sasa nimekuelewa na nakupa ruksa ya kula panya wako bila kujificha.
 
Back
Top Bottom