TANZIA Msanii Golden Jacob Mbunda(Godzilla) afariki dunia

TANZIA Msanii Golden Jacob Mbunda(Godzilla) afariki dunia

Naji anamvumilia tu mwana ila hamna mapenzi pale tena... Labda mwana ahit tena yani mpaka amekonda balaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Baracka the prince ana kipaji cha kuimba ila kutunga hajui...alaf ana kiburi....Naj alimpiga chi jamaa, jamaa akakomaa wakarudiana tena kwa sharti la kubadili din....soon naj ataenda na pedeshee la mjin....
 
We naye ...humjui zilla..mie sifatilii sana bongoflava lakini niamshe saa9 uniulize nampenda msanii gan..nitamtaja zilla..yaan nimepiga ukunga ghafla..nimeumiaa..!we si unapenda manyimbo yenu yale ya bob marley😂😂
Hujaolewa ww ningekuwa mumeo ningekuchapa vibao...
 
Innaa lillah wainnaa ilayhi raajiuun. Ni majonzi kiukweli, ni moja kati ya watu nilitokea kuwapenda kwa umahiri wao wa kucheza na lugha. Yafaa mauti kuwa mawaidha tosha.

_____________________________

Ilikuwa ni morning
Kucheki Jf nilipata mshtuko mkubwa moyoni, nikaskut nikasema pengine nipo ndotoni, nikavuta pumzi kiasi cha machozi kunitoka machoni

Kumcheki Millard Ayo
Ni kweli mwana amevuta na mwili upo Lugalo
Godzilla
Salasala homeboy hatunaye tena, majonzi yaliyonifika mpaka nashindwa kunena, Sina mengi ya kusema Mungu akulaze mahali pema

Ni wajibu kukiendea, na sote kinatungojea, R.I.P salasala hommie imani yetu huko unatungojea

_________"_________""______"_

Nina majonzi sana. Mungu akufanyie wepesi huko ulipo, kwani yeye ndiye anayehukumu na ni mwenye mwingi wa huruma kwa waja wake. Huruma yake kwa viumbe wake imezidi huruma ya mama kwa mtoto wake. Nasi tupo njiani, tutakufa tu.
 
King zilla kuna vibao vingi jamaa kafanya honest, but one of the song that everytime I can't think of deleting on my playlist ni Happy birthday naikubali sana hii nyimbo jamaa, alikuwa nakipaji all in all, we ball untill we fall rest in peace.
 
Ndiyo maana sikukutukana kwa sababu nilijua haikuathiri chochote Mkuu.

Wewe ukipewa taarifa za kukushtua sio ajabu ukauliza tena ulichoambiwa,hiyo ni kawaida kwa mtu mwenye moyo hai.

Mtu akipewa taarifa kwamba NYUMBA YAKO IMEBOMOKA KAMA KASHTUKA SANA ANAWEZA KUULIZA TENA "IMEBOMOKAA"???
Japo kuwa kaambiwa lakini anaweza kuuliza tena alichoambiwa.

Mkuu kama hukunielewa basi tufanye yameisha,swali langu lilikuwa lamshangao wa namna hiyo.


Haya pole ndugu yangu kwa msiba.

Tupoe sote kwa kumpoteza mdau mkubwa katika mziki.
 
King zilla kuna vibao vingi jamaa kafanya honest, but one of the song that everytime I can't think of deleting on my playlist ni Happy birthday naikubali sana hii nyimbo jamaa, alikuwa nakipaji all in all, we ball untill we fall rest in peace.
I like that, we ball until we fall.

Mungu amlaze mahala pema peponi.
 
Mwanamuziki huyo wa miondoko ya Hip Hop amefariki dunia ghafla usiku wa kuamkia leo akiwa nyumbani kwao Salasala Jijini Dar, mwili umehifadhiwa Hospitali ya Jeshi Lugalo.

Atakumbukwa kwa vibao vyake kama vile Nataka na Kingzilla

Aidha, Godzilla alijizolea umaarufu na mashabiki wengi kutokana na umahiri wake wa kuimba mashahiri ya papo kwa papo 'Freestyle'

--
Inasikitisha sana kuona Kijana mpiganaji anatuacha mapema hivi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji26][emoji26][emoji26] Upumzike kwa Amani Kingzilla...salasala[emoji24]View attachment 1021043

Sent using Jamii Forums mobile app

IN GOD WE TRUST.....REST IN PEACE
 
Back
Top Bottom