luciferoriginal
JF-Expert Member
- Apr 22, 2018
- 495
- 461
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu tuache utani huu mi naogopa
"KING ZILLA IN DA HOUSE SALASALA WE GO HARDER NIPO NA TEXAS YES HES MY BRODA" --M.A.P ZIZIMwanamuziki huyo wa miondoko ya Hip Hop amefariki dunia ghafla usiku wa kuamkia leo akiwa nyumbani kwao Salasala Jijini Dar, mwili umehifadhiwa Hospitali ya Jeshi Lugalo.
Atakumbukwa kwa vibao vyake kama vile Nataka na Kingzilla
Aidha, Godzilla alijizolea umaarufu na mashabiki wengi kutokana na umahiri wake wa kuimba mashahiri ya papo kwa papo 'Freestyle'
--
Inasikitisha sana kuona Kijana mpiganaji anatuacha mapema hivi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji26][emoji26][emoji26] Upumzike kwa Amani Kingzilla...salasala[emoji24]View attachment 1021043
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole Sana Mwenyez Mungu akupe subira.Nimetoka kumzika mzee wangu majuzi tu. Siku mbili kabla hajafariki alikuwa ananiusia kuhusu jamaa zetu, jinsi ya kuishi na mama yetu mlezi aliyetuachia pia alikuwa ananikumbusha nisiache kumuombea kwa mwenyezi mungu siku zote. Then nilipokuwa naondoka akaniambia kuanzia leo itabidi ugangamale siku si nyingi utakua baba wa familia hivyo usikubali ndugu wakuyumbishe.
Kesho yake napigiwa simu mzee hali mbaya ndo yupo kwenye sakaratul maut, sikuweza kuongea nae tena ila nilijiona mjinga sana kutong'amua màana ya mazungumzo yetu ya jana yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kulia kwa sauti kubwa.Kupiga ukunga ndo nini??
Noma
Naona wengi mnasema hichi kitu vp alikuwaje?Dih ndoto za kijana mwenzetu zimekatika mapema sana. Ila jamaa alikuwa anabehave strangely recently nadhani kuna kitu hakikuwa sawa na kilikuwa kinamtatiza kiakili na kiafya pia.
Mungu baba show me eeee iiiiiNinafanya mishe mishe zangu town,
na mimi siku moja nita run this town,
Nipate money ......, Yeah...
RIP KingZilla