Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,237
Huo wimbo upo wapiHaya uchaguzi ndiyo huo CCM wameshapata mrithi wa John Komba, CHADEMA nyie mnampango gani au mnasubiri kampeni zianze ndiyo muanze kupaparika? Mkikuta wasanii wote wapo booked ndiyo muanze kutafuta mchawi.
Leo msanii harmonize ameachia wimbo matata kwa ajili ya kampeni za CCM mwaka huu 2020.
"Maendeleo hayana chama"
Huo wimbo upo wapi
Huo wimbo upo wapi
Nimeweka link pale juu mkuu
Aliyekuambia sisi tunategemea wasanii ni nani? LISSU TU ANAWATOSHA.Haya uchaguzi ndiyo huo CCM wameshapata mrithi wa John Komba, CHADEMA nyie mnampango gani au mnasubiri kampeni zianze ndiyo muanze kupaparika?
Mkikuta wasanii wote wapo booked ndiyo muanze kutafuta mchawi.
Leo msanii harmonize ameachia wimbo matata kwa ajili ya kampeni za CCM mwaka huu 2020.
"Maendeleo hayana chama"
Kama hupendi bana choo-Harmonize...Chadema hawana haja na wasanii mkuu huo mda wa kutumbuiza wanatoa wali na ni mda wa kuuza sera
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hiyo link haipo mdau ??
😀😀😀 Wasanii wote waliokuwa wanaipigia compagn ccm wamepotea kwenye ramani. Angalia bongo movie au akina joti wamepotea wote na hiyo inaonyesha kuwa hicho chama kina laana
Okay poaNimeweka mkuu angalia vizuri
Huyo Lissu kajichimbia ughaibuni anaogopa kuja. Eti anategemea asindikizwe na mabeberu. Mabeberu nayo yamekumbwa na corona; sasa hata sijui itakuweje....LISSU TU ANAWATOSHA.
Haya uchaguzi ndiyo huo CCM wameshapata mrithi wa John Komba, CHADEMA nyie mnampango gani au mnasubiri kampeni zianze ndiyo muanze kupaparika?
Mkikuta wasanii wote wapo booked ndiyo muanze kutafuta mchawi.
Leo msanii harmonize ameachia wimbo matata kwa ajili ya kampeni za CCM mwaka huu 2020.
"Maendeleo hayana chama"
Ni jambo jema!Haya uchaguzi ndiyo huo CCM wameshapata mrithi wa John Komba, CHADEMA nyie mnampango gani au mnasubiri kampeni zianze ndiyo muanze kupaparika?
Mkikuta wasanii wote wapo booked ndiyo muanze kutafuta mchawi.
Leo msanii harmonize ameachia wimbo matata kwa ajili ya kampeni za CCM mwaka huu 2020.
"Maendeleo hayana chama"
Nimeweka link pale juu mkuu
Mataga mkisikia jina la Tundu Lissu huwa lazima mjitoneshe mshonoHuyo Lissu kajichimbia ughaibuni anaogopa kuja. Eti anategemea asindikizwe na mabeberu. Mabeberu nayo yamekumbwa na corona; sasa hata sijui itakuweje.