Haya uchaguzi ndiyo huo CCM wameshapata mrithi wa John Komba, CHADEMA nyie mnampango gani au mnasubiri kampeni zianze ndiyo muanze kupaparika?
Mkikuta wasanii wote wapo booked ndiyo muanze kutafuta mchawi.
Leo msanii harmonize ameachia wimbo matata kwa ajili ya kampeni za CCM mwaka huu 2020.
"Maendeleo hayana chama"