Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Posterior view/ Dorsal viewmambo ya harmonize mzee wa kupenda posterior
View attachment 3117830
Kashaufumua sana huu mndukumambo ya harmonize mzee wa kupenda posterior
View attachment 3117830
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Moshiii huooo moshiii huooo
Nikiuona moyo unadunda tenaaa
Mjini shule.Mahusiano ya harmonize maarufu kwa jina la Konde boy na socialite Poshy Queen yanaonekana kuvunjika na mwanadada huyo ameonekana kuwa na mwanaume mwingine kwenye club night moja. Dalili za kuachana kwao imeanza mapema baada ya kuunfollow kila mmoja wao.
Una mshauri vipi bwana Kondeboy kwenye mahusiano ukizingatia alishatangaza hadi tarehe ya ndoa ya kumuoa mrembo huyo na kwasasa mambo yameshavunjika na kijana kagharamia sana huyu mrembo.
Chukua nafasi yake sasakagharamia sana huyu mremb
Mtoe Aunt kwenye hilo list yule dada hangaliagi hela ndio maana mahusiano yake yanadumu wengi anaotoka nao sio wenye helaYaani kuna couple ukisikia wamepigana kibuti hushangai, Wozu na Wema,Konde na Posh,Aunt na Kusa nk.Yaani hushangai sababu unategemea lazima watapigana kibuti.
Naona uzuri haina makombo mwana mwengine anaisubiria na Konde anatafuta zigo jingine asuuze rungu. Halafu kuna fala anatokea anaenda kutoa mahali ili amuoe Posh,halafu anaanza kuleta wivu.
Mtoe Aunt kwenye hilo list yule dada hangaliagi hela ndio maana mahusiano yake yanadumu wengi anaotoka nao sio wenye hela
Mahusiano yakiwa kuanzia miaka 3 kuendelea ndio tuna term kwamba yanakaa kwa muda mrefuYaani mahusiano ya Ant Ezekiel Yanadumu? Kivipi yaani?
Jack pemba
Diamond
Moze iyobo
Huyo kusah sijui wa kumi na ngapi?
Sijui nacheka nn, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio wakina nani hao huko daslamu?
Chakaramu huyo.Mtoe Aunt kwenye hilo list yule dada hangaliagi hela ndio maana mahusiano yake yanadumu wengi anaotoka nao sio wenye hela
Si umeona yupo na kusah ambaye hela hana na hata hapo kabla alikuwa na mose iyobo nae ni apache aloloChakaramu huyo.