Hapa hazungumzii yeye kama yeye kushindwa ku-post bali anazungumzia idadi ya watu itakayoshindwa kutazama wimbo wake kutokana na social media zote kuwa destablized.Ha ha kwaninj asitumie vpn
Social media zote sasa waweza tumia bila vpn.Kama intaneti inasumbua mbona yeye ameweza kupost.?
Social media zote sasa waweza tumia bila vpn.
Tunahitaji wazee kama nyie mkemee ushabiki maandazi.Maumivu ya kichwa huanza polepole na hatimae yamehamia kwa misukule ya Lumumba!!
Hata misukule iliyojaa hapa JF inaona aibu kusema ukweli lakini na yenyewe inaumia , tena vibaya sana!!
Halafu wanatokea mazuzu wengine wanapinga tunaposema Jiwe ni Dikteta manake Madikteta yote yote duniani, katika dunia ya leo moja ya mambo ambayo hukimbilia kuyafanya ni ku-destablize social media kwa sababu adui yao mkuu ni sauti za watu!!
Mimi nasema hivi, NA BADO... Jinga sana nyie watu!!
We mmakonde hizo Caption zako huko Istagram usiandike kwa herufi kubwa zinakua hazina mvutoMsanii maarufu ambaye alitikisa Katika kampeni za CCM akiwa na nyimbo kadhaa za kukinadi chama, ameomba internet kuachiwa ili aweze kuachia wimbo wake mpya.
Tulishaiweka CCM madarakani Sasa na muda wa kuisoma namba wote kwa pamoja.View attachment 1617960
Anatafuta kiki ionekane ana kamchango kake kwenye hilo jamboKwahiyo analilia nn sasa