share
JF-Expert Member
- Nov 22, 2008
- 6,064
- 10,468
Kwani urafiki wake na Jiwe umeisha baada ya uchaguzi? Amtumie tu sms amfungulie mtandao.Msanii maarufu ambaye alitikisa Katika kampeni za CCM akiwa na nyimbo kadhaa za kukinadi chama, ameomba internet kuachiwa ili aweze kuachia wimbo wake mpya.
Tulishaiweka CCM madarakani Sasa na muda wa kuisoma namba wote kwa pamoja.View attachment 1617960