JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Watu hao wakashuka kwa lengo la kuelekea Uwanjani inaaminika wlaitaka kwenda kutoa hamasa kwa mashabiki wa Tanzania kuendelea kuishangilia timu yao lakini walinzi (Mabaunsa) waliwakatalia.
Wakati ubishani ukiendelea, ghafla kuna Baunsa akampiga ngumi Harmonize ambaye naye akarudisha na kuzuka kwa vurugu kwa dakika kadhaa.
Baada ya vuta nikuvute ya zaidi ya dkika 10 ndipo Askari Polisi wakafika na kumaliza mzozo huo.