Msanii Harmonize ‘Konde Boy’ alivyotibuana na Mabaunsa Uwanja wa Mkapa, ngumi zarushwa

Msanii Harmonize ‘Konde Boy’ alivyotibuana na Mabaunsa Uwanja wa Mkapa, ngumi zarushwa

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Inadaiwa Msanii Harmonize na team yake ya Konde Gang walienda VVIP kwa ajili ya kushuhudia mchezo wa Tanzania dhidi ya Morocco kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2026, wakati wa mapumziko, jana Usiku wa Novemba 21, 2023.

Watu hao wakashuka kwa lengo la kuelekea Uwanjani inaaminika wlaitaka kwenda kutoa hamasa kwa mashabiki wa Tanzania kuendelea kuishangilia timu yao lakini walinzi (Mabaunsa) waliwakatalia.

Wakati ubishani ukiendelea, ghafla kuna Baunsa akampiga ngumi Harmonize ambaye naye akarudisha na kuzuka kwa vurugu kwa dakika kadhaa.

Baada ya vuta nikuvute ya zaidi ya dkika 10 ndipo Askari Polisi wakafika na kumaliza mzozo huo.



 
Pale busara inaposhindwa kuwaongoza watu, ndipo mambo ya kurushiana ngumi hutokea.

Ndiyo maana wanasema ukialikwa vyema ukaketi viti vya nyuma ili kama utahitajika ukaketi mbele uitwe, lakini sio ukae mbele alafu utakiwe urudi nyuma.
 
Inadaiwa Msanii Harmonize na team yake ya Konde Gang walienda VVIP kwa ajili ya kushuhudia mchezo wa Tanzania dhidi ya Morocco kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2026, wakati wa mapumziko, jana Usiku wa Novemba 21, 2023.

Watu hao wakashuka kwa lengo la kuelekea Uwanjani inaaminika wlaitaka kwenda kutoa hamasa kwa mashabiki wa Tanzania kuendelea kuishangilia timu yao lakini walinzi (Mabaunsa) waliwakatalia.

Wakati ubishani ukiendelea, ghafla kuna Baunsa akampiga ngumi Harmonize ambaye naye akarudisha na kuzuka kwa vurugu kwa dakika kadhaa.

Baada ya vuta nikuvute ya zaidi ya dkika 10 ndipo Askari Polisi wakafika na kumaliza mzozo huo.

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣acha apigwe tu hakuna namna.
 
Inadaiwa Msanii Harmonize na team yake ya Konde Gang walienda VVIP kwa ajili ya kushuhudia mchezo wa Tanzania dhidi ya Morocco kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2026, wakati wa mapumziko, jana Usiku wa Novemba 21, 2023.

Watu hao wakashuka kwa lengo la kuelekea Uwanjani inaaminika wlaitaka kwenda kutoa hamasa kwa mashabiki wa Tanzania kuendelea kuishangilia timu yao lakini walinzi (Mabaunsa) waliwakatalia.

Wakati ubishani ukiendelea, ghafla kuna Baunsa akampiga ngumi Harmonize ambaye naye akarudisha na kuzuka kwa vurugu kwa dakika kadhaa.

Baada ya vuta nikuvute ya zaidi ya dkika 10 ndipo Askari Polisi wakafika na kumaliza mzozo huo.

Nimependa sauti ya huyo Dada kwenye video ya tatu...
"Huyo ni nani,Hamonaiizi ....anafanya vitu kama hivii...
 
Back
Top Bottom