Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana huyu dogo ni mshamba sana. Na anapenda ugomvi. Nina hakika yeye ndie alieanza kurusha ngumu.Dogo ushamba bado haumuishi dah...
Hiyo akili ana huyo andunje ni mshamba sanaShida ninini? Kwamba Konde amefika tu akaanzisha ugomvi? Kuna utaratibu alitakiwa kufuata akakataa?
Hata hivyo ni msanii wetu mkubwa, wangemtreat vizuri apite aende aendako, inaonekana kuna dharau wamemfanyia.
Naye apunguze bangi na uhuni, kwenye situation kama hiyo wala hakutakiwa kugombelezea na kurusha ngumi, alitakiwa akae pembeni hao aliowaajiri PA's na Mabaunsa wake washughulikie utaratibu.
Mkuu asa apo bangi inaingiaje mkuu ... si bola ungesema watu wa fupi wanapenda ugomvi yan we umeenda kwenye bangi kiukwel sijapendaTatizo ni uvutaji wa Bange....
Kitu G Lock 17. Kiboko ya nyama za baunsaMambo ya kitoto haya.
Kupigana ngumi tena?
Nikajua mtu kapigwa Beretta kumbe ni ukhanithi mtupu.
Hamo ni fala na mshamba wa umaarufu tu, anagombelezewa yeye ndio anapata bichwa kutaka ugomvi ukue zaidi. Kila anayemshika anamkataa na kutaka kumshambulia...Inadaiwa Msanii Harmonize na team yake ya Konde Gang walienda VVIP kwa ajili ya kushuhudia mchezo wa Tanzania dhidi ya Morocco kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2026, wakati wa mapumziko, jana Usiku wa Novemba 21, 2023.
Watu hao wakashuka kwa lengo la kuelekea Uwanjani inaaminika wlaitaka kwenda kutoa hamasa kwa mashabiki wa Tanzania kuendelea kuishangilia timu yao lakini walinzi (Mabaunsa) waliwakatalia.
Wakati ubishani ukiendelea, ghafla kuna Baunsa akampiga ngumi Harmonize ambaye naye akarudisha na kuzuka kwa vurugu kwa dakika kadhaa.
Baada ya vuta nikuvute ya zaidi ya dkika 10 ndipo Askari Polisi wakafika na kumaliza mzozo huo.
😂😂😂Mambo ya kitoto haya.
Kupigana ngumi tena?
Nikajua mtu kapigwa Beretta kumbe ni ukhanithi mtupu.
Alafu inaonekana alimpa maneno machafu "braza "baunsa ,baunsa akaona aaah we nani kwanza chukua jabu ya meno hiyo mmakonde kuleeeDogo ushamba bado haumuishi dah...
Dogo ila kakuzidi helaSana huyu dogo ni mshamba sana. Na anapenda ugomvi. Nina hakika yeye ndie alieanza kurusha ngumu.
🤣🤣🤣🤣PANKI BAYAAAA🤣🤣
Ano go daii ooo...Fo evribadi