Msanii Harmonize kuzindua album yake kesho

Msanii Harmonize kuzindua album yake kesho

Hongera kwake! Tunahitaji wasani wetu wawe matajiri kupitia muziki kama wasanii wa DR Congo.
 
Hongera kwake! Tunahitaji wasani wetu wawe matajiri kupitia muziki kama wasanii wa DR Congo.
Njia pekee ya kumsapoti msanii ni kununua kazi zake kwenye platforms mbalimbali zinazouza mziki na kuhudhuria show zake.

Tatizo sisi wabongo kazi za wasanii hatununui tunapenda vya bure,tunasubiria djmwanga,kidebwoy aweke sisi tupakue bire.

Hii album unaweza ukakuta kuna mpuuzi mmoja anainunua online alafu anaiweka kwenye account yake Youtube watu wanaipakua free.
 
Njia pekee ya kumsapoti msanii ni kununua kazi zake kwenye platforms mbalimbali zinazouza mziki na kuhudhuria show zake.

Tatizo sisi wabongo kazi za wasanii hatununui tunapenda vya bure,tunasubiria djmwanga,kidebwoy aweke sisi tupakue bire.

Hii album unaweza ukakuta kuna mpuuzi mmoja anainunua online alafu anaiweka kwenye account yake Youtube watu wanaipakua free.
Kabisa kabisa mkuu. Sisi watu weusi hasa wabongo ni wangese sana. Binafsi nitamuunga mkono kwa kuinunua. Na hiyo hata iwe Kiba au Diamond nita show love.
 
Nasikiliza hapa hyo album yake kingereza kama chote mmakonde! Sijui hzi ngoma kawatolea west africa huko!

Sasa aliponichosha kwenye remix ya never give up!
 
Hayawi sasa yamekuwa.. Yule msanii Mwenye Mwili kama Pipaa.. Anayejiita Jeshi, ila watanzania wakasema hapana, wewe ni Tembooo.. hatimae kesho atazindua rasmi Album yake ndani ya viwanja vya mlimani City..

Mliopata mwaliko msisite kutupa updates iyo kesho...
😷 Cc Msagasumu
 
Jukwaa bayaaaaa kama show ya kibisa,show imepooza mno,jamaa sijui kwa nn hana amsha amsha kivile,halafu funga kazi mavazi hasa ile suti la kung'ara ng'ara utafikiri anapigia show huko Chitoholi kwenye harusi
 
Mpoki kapanda jukwaani.

Mpoki siyo mchekeshaji, kuchekesha kwake ni kutania tania watu tu mwanzo mpaka mwisho.

Nadhani anatakiwa kupata producer anayeweza kumpa points za kuchekesha huku akieleimisha.
 
Huo ndio ukweli mkuu
Utakuaje no 1 ikawa huna mashabiki wengi mfano mzuri tukio lake hili ni kubwa halijatred kabisa limekosa Kiki, utakuaje no 1 ikiwa nyimbo zako hazina viewers kubwa Kama nyimbo diamond?utakuaje no 1 ikiwa huna show nyingi na zenye ukubwa kuzidi diamond? utakuaje no 1 ikiwa nyimbo zako hazina manunuzi Kama ya nyimbo za diamond?utakuaje no 1 ikiwa ufanyi vizuri international zaidi ya diamond?
 
Utakuaje no 1 ikawa huna mashabiki wengi mfano mzuri tukio lake hili ni kubwa halijatred kabisa limekosa Kiki, utakuaje no 1 ikiwa nyimbo zako hazina viewers kubwa Kama nyimbo diamond?utakuaje no 1 ikiwa huna show nyingi na zenye ukubwa kuzidi diamond? utakuaje no 1 ikiwa nyimbo zako hazina manunuzi Kama ya nyimbo za diamond?utakuaje no 1 ikiwa ufanyi vizuri international zaidi ya diamond?
Anaelekea huko ktk maisha hamna kinachoshindikana as long unajituma.Always number 1 ipo kwa wanaojituma.
 
Back
Top Bottom