Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
jibu swali acha ukikeKwani ww unaelewaje skendo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jibu swali acha ukikeKwani ww unaelewaje skendo?
Ukike wangu uko wapi hapo kwanza? Naona umeanza kunitukana sasa tumeshindwa elewana kwa hoja?jibu swali acha ukike
Watu wanarank namba moja kwa hisia /ushabiki bila kuangalia vitu mbalimbali true Harmo yuko juu ila sio kiasi tuseme kampita Mondi. Harmo akiongeza juhudi atamfikia hata kumpita ila ndio apambane HaswaSiwezi kulia na me honest namkubali Sana harmonize na show yake na maandalizi yote aliyofanya was fantastic hivyo ndo msanii mkubwa uwe hivyo ingawa kwenye live band ni tatizo kwa wasanii wengi bongo.My point harmonize bado si number 1 ni number 2 ila akiongeza juhudi Sana atafika number 1 hapa tunaongea facts sio hisia au chuki ili uwe number 1 unatakiwa uwe best kwa maeneo mengi ikiwemo kuwa mashabiki wengi kushinda msanii yoyote,kazi zako kununuliwa Sana kuliko msanii yoyote,kupata show nyingi na kubwa kuliko msanii yoyote,kufanya vizuri international kuliko msanii yoyote hiv ndio vitu vinavyo define mtu kuwa number 1 je harmonize ana hizo sifa nilizoandika hapo?
Roho mbaya hapo ipo wapi?uwezi ukamwita mtu number 1 ikiwa anazidiwa vitu vingi na mtu mwingine labda ajitahidi awe number 1 hapo ndo ningemuelewa jamaa
Kwani me Nina bifu na harmonize?innocent dependent utaficha wapi sura yako baada ya boss wako Diamond mwenyewe kupost Album ya Konde Boi ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasikiliza hapa hyo album yake kingereza kama chote mmakonde! Sijui hzi ngoma kawatolea west africa huko!
Sasa aliponichosha kwenye remix ya never give up!