Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,146
Yaani wewe umeona jina tu?Jina la label limekaa kikabila sana
Ibra atapewa vipi promo wakati bosi wake kila siku anaachia nyimbo,kila mwezi anatambulisha msanii mpya,huyo Ibra atasikilizwa saa ngapi.Hayo ni makasiriko sasa
Kisa tu wimbo hujauelewa wewe unajumuisha wote hawauelewi.?
Labda kwenye promo wamezingua sawa
Ila ibrah anajua sanaaa
Kakosa tu promo nzuri
Sara naona una uchungu sana kulikoni?Yaani wewe umeona jina tu?
Wenzio wametoa point za maana.
Utalamba miguu watu mpk lini dogo
Aa juma lokole.mwenyewe ukiwa kazini Mimi ni nani hata nikubishie?Sara naona una uchungu sana kulikoni?
Ndo maana nimesema ibrah anahitaji promo.tu ni msaniii mkaliIbra atapewa vipi promo wakati bosi wake kila siku anaachia nyimbo,kila mwezi anatambulisha msanii mpya,huyo Ibra atasikilizwa saa ngapi.
Wanachemka wenyewe kwenye mipango yao.
Kwa wasanii wapya waliotoka huyo dogo mpaka sasa ndio the best.Ndo maana nimesema ibrah anahitaji promo.tu ni msaniii mkali
Ila nawe umezidisha chumvi eti kila mwezi msanii mpya ..
Hahahhaah
Anzia kuhesabu toka mwezi wa kwanza mpka sasa si wangekuwa 10
Hahahah
Halafu kuna jamaa hapa anasema eti nyimbo haielewekiKwa wasanii wapya waliotoka huyo dogo mpaka sasa ndio the best.
Kama ni tuzo kwa upcoming artist huyo dogo anastahili.
Sijachelewa ni bonge la ngoma kuanzia mashairi, utunzi na mdundo.
Ni purely bongo fleva.
Kuna watu ni mashabiki lialia, hawawezi kujua muziki.Halafu kuna jamaa hapa anasema eti nyimbo haieleweki
Hii ngoma imesikilizwa sana tu ubaya wetu wabongo tunaenda kwa DJ mwanga kudownload bure so takwimu halisi hazionekani
Akipata promo nzuri mtasema anabebwa na promo which is which?Hayo ni makasiriko sasa
Kisa tu wimbo hujauelewa wewe unajumuisha wote hawauelewi.?
Labda kwenye promo wamezingua sawa
Ila ibrah anajua sanaaa
Kakosa tu promo nzuri
🤣🤣🤣 ila hawako organize kutoka mwezi wa 4 mpaka sasa washatambulisha wasanii wanne,yeye mwenyewe sasa kila siku ana achia nyimbo zake.Lazima wa kwame.Wana mipango mingi ambayo mwisho wa siku haitekelezeki.Ndo maana nimesema ibrah anahitaji promo.tu ni msaniii mkali
Ila nawe umezidisha chumvi eti kila mwezi msanii mpya ..
Hahahhaah
Anzia kuhesabu toka mwezi wa kwanza mpka sasa si wangekuwa 10
Hahahah
Diamond huwa anajifanya yupo level moja na wakina Davido ila cha ajabu ndio msanii wa kwanza kuwalamba miguu maccm yanayotesa wananchi wa Tanzania kinyume na mastaa wanaojielewa like Davido na WizkidJina la label limekaa kikabila sana
Unataka tupakue Mdundo.com ?Halafu kuna jamaa hapa anasema eti nyimbo haieleweki
Hii ngoma imesikilizwa sana tu ubaya wetu wabongo tunaenda kwa DJ mwanga kudownload bure so takwimu halisi hazionekani