Msanii Ibra wa Mmakonde karudi nyuma hatua 70

Huoni kwamba ndani ya trh hizo maccm yalikuwa na jambo lao la kuharibu uwanja wa mkapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muache na mipango take kaamua iwe hivyo
 
Naunga mkono hoja hahah
 
Huyu bwa mdogo alianza vyema lakini sasa hivi anazidi kudrop, wimbo wake mpya haueleweki, haufanyi vizuri sokoni, promo kutoka kwa boss wake hapati ya kutosha..kaporomoka hatua 70 nyuma, ni vyema ajitafakari uwepo wake pale KM una tija yoyote?

Kwani lini aliwahi kuwa juu?
 
Wale wa wili walio ingia kutoka king music ndo kabsaa ..country mwenyewe kachuja na EP yake
 
Huyo dogo sijawahi hata kushawishika kumsikiliza. Namuelewa yule dogo wa Kiba wa kuitwa Tommy Flavor ingawa Kiba naye anafail kwenye kupromote wasanii wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…