Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Huyo Jembe ni Jembe mbona anaonekana ni mtu smart sanaHuyu jamaa anajua sana ila management aliyonayo haina kichwa!! Yani kondegang ni kikundi tu cha wahun uendeshaji wake haupo focused!!
Huoni kwamba ndani ya trh hizo maccm yalikuwa na jambo lao la kuharibu uwanja wa mkapa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila hawako organize kutoka mwezi wa 4 mpaka sasa washatambulisha wasanii wanne,yeye mwenyewe sasa kila siku ana achia nyimbo zake.Lazima wa kwame.Wana mipango mingi ambayo mwisho wa siku haitekelezeki.
Miezi miwili iliyo pita Harmonize na EFM (Bdozen na Majizo) walisema wataandaa show Uhuru kwa siku tatu mfululizo kuanzia tar 7 mpaka 10,lkn ukitizama mpaka sasa hata dalili hamna.
Wale Cheed na Killy walitakiwa watoke mwishoni mwa mwaka kesho au kesho kutwa tena kwa awamu,yy wote kawatambulisha August na sijui watawa promoti vipi.
Simaanishi hivyo ila.wengi hatuendi YouTube kustream tunaamua kudownload kwa matumizi ya Mara kwa mara
Tarehe 7-10 November (Typing error).Huoni kwamba ndani ya trh hizo maccm yalikuwa na jambo lao la kuharibu uwanja wa mkapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Muache na mipango take kaamua iwe hivyo🤣🤣🤣 ila hawako organize kutoka mwezi wa 4 mpaka sasa washatambulisha wasanii wanne,yeye mwenyewe sasa kila siku ana achia nyimbo zake.Lazima wa kwame.Wana mipango mingi ambayo mwisho wa siku haitekelezeki.
Miezi miwili iliyo pita Harmonize na EFM (Bdozen na Majizo) walisema wataandaa show Uhuru kwa siku tatu mfululizo kuanzia tar 7 mpaka 10 November 2020,lkn ukitizama mpaka sasa hata dalili hamna.
Wale Cheed na Killy walitakiwa watoke mwishoni mwa mwaka kesho au kesho kutwa tena kwa awamu,yy wote kawatambulisha August na sijui watawa promoti vipi.
Muda badoTarehe 7-10 November (Typing error).
Ndio unataka tusemeje mbovu?Akipata promo nzuri mtasema anabebwa na promo which is which?
Naunga mkono hoja hahahKuna watu ni mashabiki lialia, hawawezi kujua muziki.
Mtu tangu asubuhi mpaka jioni kaweka Wasafi TV/FM instagram anawafollow Wasafi tu hawezi kujua muziki nje ya circle hiyo.
Huyo dogo hata akiachwa hapo Konde music hatakosa msimamizi.
Uwezo wake ushaonekana
Ayeeeee 😂Yaani wewe umeona jina tu?
Wenzio wametoa point za maana.
Utalamba miguu watu mpk lini dogo
Huyu bwa mdogo alianza vyema lakini sasa hivi anazidi kudrop, wimbo wake mpya haueleweki, haufanyi vizuri sokoni, promo kutoka kwa boss wake hapati ya kutosha..kaporomoka hatua 70 nyuma, ni vyema ajitafakari uwepo wake pale KM una tija yoyote?
Hawa madogo chawa wa Instagram bwana wana tabu sanaAyeeeee 😂
Kama ulivyo wewe chawa wa kondeboyHawa madogo chawa wa Instagram bwana wana tabu sana
Hawa madogo chawa wa Instagram bwana wana tabu sanaAyeeeee 😂
Sio wa alikiba tena? HahahahhKama ulivyo wewe chawa wa kondeboy
Chawa mbona unapanikiHawa madogo chawa wa Instagram bwana wana tabu sana
Sio wa alikiba tena? Hahahahh
Tulia juma lokole tamu ya bwana simba
Juma lokole eti unatusutaChawa mbona unapaniki
Ibra yupo kama.lavalava wanaume hamtaa muwaelewe
sisi wanawake sasa⚘AI LAIKI YUA AIDI