Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,428
- 27,096
Sasa hapo bhange ni kipi[emoji849][emoji849][emoji849]acha bhange dogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hapo bhange ni kipi[emoji849][emoji849][emoji849]acha bhange dogo
East Wind💥
Mosi, Leta hapa hizo takwimuTakwimu rasmi zinapatikana National Bureau of Statistics. ( yani hata kwa akili ndogo ambayo haijawa brainwashed (Kama hata hiyo ndogo bado unayo) unaamini kwamba tz ina fire proof ya ugonjwa huu? Au unaamini katika sera za kufukuza ugonjwa kwa maombi? Au ndo hupo kwenye lile kundi la kiusifu na kuabudu. ? Kijana fungua macho na akili au Ndio mzugo umekolea.?
Nadhani hauko sawa.Mosi, Leta hapa hizo takwimu
Pili, Sijasema Tanzania haina maradhi
Tatu, Nikwambie tu sikatai Corona haipo lakini uwepo wake ni wa mashaka, kila anayesema kuna corona ukimuuliza imemuua nani anajibu amesikia fulani kafa na corona hasa wale Maarufu lakini huku mitaani, nyumbani kwake, kwenye ukoo wake hana uthibitisho wa kuuguliwa ama kufiwa na ndugu rafiki au jamaa kwa corona
Shida ni kwamba mnazungumza utafikiri ni gonjwa hatari mno, ukweli ni kwamba hata kama ipo sio tishio la kutufanya tuishi roho juu juu na kuanza kufungiana ndani
SawaNadhani hauko sawa.
Ndio nimeanza juzi tu raisi wa chato anavoapishwa kwa mara ya piliUmeanza kusikiliza music juzi....???
Ni kweli Alisoma IFMKuna interview yake moja nimeiskia anasema ye ni mhandisi wa mifumo ya tehama na kuna mdau anasema jamaa alisoma IT pale IFM, bado sijaelewa uhandisi wake ni wa kitu gani.
r.i.p CP
Ok so alipiga ICT na sio EngineeringNi kweli Alisoma IFM
Then akamalizia UDSMNi kweli Alisoma IFM
Hapa full heshima leoEast Wind[emoji95]
Kwann UDSM?Then akamalizia UDSM
UD alisoma course gani?Then akamalizia UDSM
Huko inakochachafya imewamaliza?