TANZIA Msanii Ilunga Khalifa maarufu 'C Pwaa' afariki dunia Hospitali ya Taifa Muhimbili

Safi Sana umeandika vizuri ..jamaa amendika upuuzi
 

maneno yako ya mwisho ni mazito sana na nimetafakari baada ya kuona member mmoja anasema kapita bugando amekuta mgonjwa wa corona nitanunua sanitizer aise
 
Nikisikia taarifa ya kifo moyo wangu unaogofya mno[emoji22][emoji22]

Pumzika kwa amani mwamba[emoji3064][emoji3064][emoji3064]

binti yangu kipenzi umenifanya nikumbuke story ya mama mmoja alikuwa na binti yake wa miaka 10 basi huyo binti aliogopa sana radi miaka hiyo ya 1800’s huko marekani
kwa bahati mbaya huyo binti alifariki baada ya kufariki mama yake alibuni kaburi lenye ngazi ambazo baada ya kufungua gate lililonyuma ya kaburi unashika chini alafu akawa anashuka chini wakati wa radi anasimama kwenye kadirisha humo kaburini anaanza kum comfort binti yake[emoji20]
 

wewe mkuu tunakujua una matatizo sana wacha nikupuuze. hakuna mwana JF asiyejua kwamba una matatizo
 
Baba Chakorii we acha tu🥺🥺
Kifo baba😢😢😢
Kifo hakina huruma baba mzazi😢😢😢😢

Tuombe mwisho mwema 🥺🥺
 
Patupu kweli we jamaa, ukifaulu vizuri kwahiyo lazima usome UD...,! Kuna mdau namjua alipiga 1 ya 3(PCM) A- level , akaenda kusoma T.I.A course ya procurement, tena kipindi hiko wanatoa Advance diploma.
 
Kabla hajasema kwenye Salama Na hizo habari zilikuwepo kabla wasanii wenzie walikuwa wanasema

Sasa sijui tumuamini nani
 
Sifahamu habari za vyuo lakini vipi ikiwa alienda huko kwa kuwa Udsm hapakumtosheleza kwa kozi yake?
 
Hata kama alipata 1.7,ina maana F6 alizembea akafeli ndio maana mwisho wa siku katokea IFM

Of which the nigga is inherently not smart,he was smart then by fluke!

Regardless who cares alipata what.
Mkuu what's the definition of being smart ?, kwa kazi zake alizofanya na jinsi alivyojiweka naweza kusema the guy was vert smart no even if he would have got all F in his schools days..., intelligence especially siku hizi ni vigumu sana kuipima kwa school examinations (unaweza ukawa mtaalamu wa kulenga paper) sio application ya kile unachokisema au thinking nje ya box...
 
Si kweli

Hapo unadhani..sio reality
Yote kwa yote uwezo wa akili/kukariri si vizuri sana kuupima kwa matokeo ya mitihani, kuna mtu aliniambia matokeo hutegemea hali ya mtahiniwa siku/kipindi chaa mitihani husika, vyeti ni makaratasi tu

Iwe alitoka na 1.7 ama vipi ila nachojua kwa hakika kabisa jamaa alikuwa kipanga linapokuja suala la Computer/programming

Imagine wakati wake muamko wa kozi hiyo haukuwa viile lakini alikuwa interested na aliijua vilivyo
 
Kwa mawazo haya kugongana naomba uzi ufungwe

Jibu ndio hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…