TANZIA Msanii Ilunga Khalifa maarufu 'C Pwaa' afariki dunia Hospitali ya Taifa Muhimbili

TANZIA Msanii Ilunga Khalifa maarufu 'C Pwaa' afariki dunia Hospitali ya Taifa Muhimbili

Hujui hata kujenga hoja kilaza kweli wewe! Unaweza piga one ya 7 form four, six ukaenda fanya vibaya! Kuna mwamba alitoka na one ya 10 O level,six akatoka na 3 mbaya sana!

Msela akapiga remedial class, then akapiga Bachelor,msela aliweka record ya First Class moja hatari sana,akafanya CPA kila module alifanya single sitting,na siku ya Graduation ya NBAA alikua moja ya watu waliofanya vizuri sana,Auditing firm kubwa kubwa hua zinachukua wale vipanga,jamaa nae siku hiyo alikua mmoja wao,sema alitoa akaenda zake PSSSF now yuko ofisi ya Msajiri wa Hazina!
Safi Sana umeandika vizuri ..jamaa amendika upuuzi
 
Takwimu rasmi zinapatikana National Bureau of Statistics. ( yani hata kwa akili ndogo ambayo haijawa brainwashed (Kama hata hiyo ndogo bado unayo) unaamini kwamba tz ina fire proof ya ugonjwa huu? Au unaamini katika sera za kufukuza ugonjwa kwa maombi? Au ndo hupo kwenye lile kundi la kiusifu na kuabudu. ? Kijana fungua macho na akili au Ndio mzugo umekolea.?

maneno yako ya mwisho ni mazito sana na nimetafakari baada ya kuona member mmoja anasema kapita bugando amekuta mgonjwa wa corona nitanunua sanitizer aise
 
Nikisikia taarifa ya kifo moyo wangu unaogofya mno[emoji22][emoji22]

Pumzika kwa amani mwamba[emoji3064][emoji3064][emoji3064]

binti yangu kipenzi umenifanya nikumbuke story ya mama mmoja alikuwa na binti yake wa miaka 10 basi huyo binti aliogopa sana radi miaka hiyo ya 1800’s huko marekani
kwa bahati mbaya huyo binti alifariki baada ya kufariki mama yake alibuni kaburi lenye ngazi ambazo baada ya kufungua gate lililonyuma ya kaburi unashika chini alafu akawa anashuka chini wakati wa radi anasimama kwenye kadirisha humo kaburini anaanza kum comfort binti yake[emoji20]
 
Hilo halipo

Hakuna aliepata 1.3 Sekondari halafu akaamua kwenda chuo kidogo kwa hiyari yake eti

Stop this nonsense

It is a myth,hakuna huu upumbavu

Alipata 1.3 akapta shida mbalimbali ndio maana mkamkuta huko,hakuna kwa hiyari,labda alifeli pahali

Mtu kapata 1.3 eti achague kwenda Nyerere College Kigamboni,nigga stop these lies!

1.3 kwenda chuo kidogo,huyo mwenye 1.3 kwanza akapimwe akili,anaenda ku under utilise his brain capacity

Achenigi kudanganya watu bwana...

Nikisema mtupatie proof hamna

Aliepata 1.3 akaenda chuo kidogo ni kwamba alidisco vyuo vikubwa ndio akaenda chuo kidogo,thats a fact

Tupe mfano mmoja tufanye debunking hapa!

wewe mkuu tunakujua una matatizo sana wacha nikupuuze. hakuna mwana JF asiyejua kwamba una matatizo
 
binti yangu kipenzi umenifanya nikumbuke story ya mama mmoja alikuwa na binti yake wa miaka 10 basi huyo binti aliogopa sana radi miaka hiyo ya 1800’s huko marekani
kwa bahati mbaya huyo binti alifariki baada ya kufariki mama yake alibuni kaburi lenye ngazi ambazo baada ya kufungua gate lililonyuma ya kaburi unashika chini alafu akawa anashuka chini wakati wa radi anasimama kwenye kadirisha humo kaburini anaanza kum comfort binti yake[emoji20]
Baba Chakorii we acha tu🥺🥺
Kifo baba😢😢😢
Kifo hakina huruma baba mzazi😢😢😢😢

Tuombe mwisho mwema 🥺🥺
 
MKuu

Yeyote anaweza ongea chochote

Nikikwambia hapa nilipata let say 1.7 F4 utanimini sababu tu nimesema?

Kasema yeye,nipe proof kwenye matokeo website ya NECTA,nipe link!

Hata kama alipata 1.7,ina maana F6 alizembea akafeli ndio maana mwisho wa siku katokea IFM

Of which the nigga is inherently not smart,he was smart then by fluke!

Regardless who cares alipata what.
Patupu kweli we jamaa, ukifaulu vizuri kwahiyo lazima usome UD...,! Kuna mdau namjua alipiga 1 ya 3(PCM) A- level , akaenda kusoma T.I.A course ya procurement, tena kipindi hiko wanatoa Advance diploma.
 
MKuu

Yeyote anaweza ongea chochote

Nikikwambia hapa nilipata let say 1.7 F4 utanimini sababu tu nimesema?

Kasema yeye,nipe proof kwenye matokeo website ya NECTA,nipe link!

Hata kama alipata 1.7,ina maana F6 alizembea akafeli ndio maana mwisho wa siku katokea IFM

Of which the nigga is inherently not smart,he was smart then by fluke!

Regardless who cares alipata what.
Kabla hajasema kwenye Salama Na hizo habari zilikuwepo kabla wasanii wenzie walikuwa wanasema

Sasa sijui tumuamini nani
 
Hilo halipo

Hakuna aliepata 1.3 Sekondari halafu akaamua kwenda chuo kidogo kwa hiyari yake eti

Stop this nonsense

It is a myth,hakuna huu upumbavu

Alipata 1.3 akapta shida mbalimbali ndio maana mkamkuta huko,hakuna kwa hiyari,labda alifeli pahali

Mtu kapata 1.3 eti achague kwenda Nyerere College Kigamboni,nigga stop these lies!

1.3 kwenda chuo kidogo,huyo mwenye 1.3 kwanza akapimwe akili,anaenda ku under utilise his brain capacity

Achenigi kudanganya watu bwana...

Nikisema mtupatie proof hamna

Aliepata 1.3 akaenda chuo kidogo ni kwamba alidisco vyuo vikubwa ndio akaenda chuo kidogo,thats a fact

Tupe mfano mmoja tufanye debunking hapa!
Sifahamu habari za vyuo lakini vipi ikiwa alienda huko kwa kuwa Udsm hapakumtosheleza kwa kozi yake?
 
Hata kama alipata 1.7,ina maana F6 alizembea akafeli ndio maana mwisho wa siku katokea IFM

Of which the nigga is inherently not smart,he was smart then by fluke!

Regardless who cares alipata what.
Mkuu what's the definition of being smart ?, kwa kazi zake alizofanya na jinsi alivyojiweka naweza kusema the guy was vert smart no even if he would have got all F in his schools days..., intelligence especially siku hizi ni vigumu sana kuipima kwa school examinations (unaweza ukawa mtaalamu wa kulenga paper) sio application ya kile unachokisema au thinking nje ya box...
 
Si kweli

Hapo unadhani..sio reality
Yote kwa yote uwezo wa akili/kukariri si vizuri sana kuupima kwa matokeo ya mitihani, kuna mtu aliniambia matokeo hutegemea hali ya mtahiniwa siku/kipindi chaa mitihani husika, vyeti ni makaratasi tu

Iwe alitoka na 1.7 ama vipi ila nachojua kwa hakika kabisa jamaa alikuwa kipanga linapokuja suala la Computer/programming

Imagine wakati wake muamko wa kozi hiyo haukuwa viile lakini alikuwa interested na aliijua vilivyo
 
Mkuu what's the definition of being smart ?, kwa kazi zake alizofanya na jinsi alivyojiweka naweza kusema the guy was vert smart no even if he would have got all F in his schools days..., intelligence especially siku hizi ni vigumu sana kuipima kwa school examinations (unaweza ukawa mtaalamu wa kulenga paper) sio application ya kile unachokisema au thinking nje ya box...
Kwa mawazo haya kugongana naomba uzi ufungwe

Jibu ndio hilo
 
Back
Top Bottom