TANZIA Msanii Ilunga Khalifa maarufu 'C Pwaa' afariki dunia Hospitali ya Taifa Muhimbili

Mkuu haya maneno makali sana.
Kama unavyoona mood ni ya maombolezo. Wa2 wana reflect life ya nigga.
Respect, at least for the departed.
Wana reflect life ya nigga?

Educational background sio life ya nigga?

Ukiishi in public utakufa in public, msiba utaanikwa JF, utaombolezwa in public

Comes with the package
 
mkuu samahani ila una akili mgando sana, unajua kuna watu wanachaguliwaga kwenda udsm au udom ila wanaenda vyuo vidogo ?
huenda jamaa alienda IFM kwa mapenzi
Nilifaulu vizuri, nikaenda chuo chepesi kuna kipindi flani ili kupunguza stress na sikuta shule za kukomoana, nilichukulia sehemu chuo kama sehemu ya kupumzisha akili kipidni ramani mtaani hazisomi.. ila shida wabongo akili zetu nzito sana kwenye haya mambo
 
😒😒😒 dah! Kumbe nimepoteza programmer mwenzangu 😭😭😭😭😭
 
Wana reflect life ya nigga?

Educational background sio life ya nigga?

Ukiishi in public utakufa in public, msiba utaanikwa JF, utaombolezwa in public

Comes with the package
May be you're right. Afterall, its a free world!!
We endelea kukazia the guy was not inherently smart. Mie hapa naendelea kucheza track zake.
 
Uko sahihi mkuu
 
Kwa nini sasa? Point 7 ni mambo ya form 4 huko...halafu kitambo hicho watu waliokuwa wanataka kusoma IT kama cpwaa wengi walikuwa wanaenda IFM au vile vyuo vya wahindi kule posta (e.g Learn IT)... mlimani kulikuwa na uhaba wa walimu wa computer
Walimu wa computer wakosekane mlimani wawepo IFM mkuu kua serious kwa enzi hizo IFM walikua wanasoma wenye ufaulu mdogo au waliokua wakiunga unga..hio Learn IT walikua wanasoma waliofeli kabisa form 4...wamekula Div 4 point 27-30 na kuendelea
 


Point ya msingi ni kwamba huyo mtu wako wa hazina alifaulu 1.10 form 4 akaja kufeli form 6..kwaio point ya jamaa inabaki pale pale hakuna anaefaulu vizuri kwa miaka hio anaenda kusoma IFM kipindi hicho wanatoa Advanced Diploma pia kuwepo kwa huyo mtu wako mmoja hakubadilishi uhalisia kwamba miaka ya nyuma waenda kusoma IFM ni wenye ufaulu mdogo...au wakuunga unga...
 
kamfufue basi umpe hizi habari
 
Kitaa migo watu wananyetisha mwamba alikuwa dizyn ndapu basi mkanganyiko
 
Acha ujinga ww kwani kusoma UDSM ndio nini? MFANO MM nilipiga O LEVEL one kali Nkaenda Galanos nako nikachimba one kali nkakataa hiyo UDSM na nikaenda Mzumbe.
 
Cpwaa ni nani?, jina lake kamili, anaishi wapi, ni mkongo au mbantu, amefia WAP, kwa ugonjwa gan, taarifa umezipata wapi n.k
Mkongo pia ni Mbantu tena maarufu Africa
 
😭😭😭😭😭
R I.p
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…