TANZIA Msanii Ilunga Khalifa maarufu 'C Pwaa' afariki dunia Hospitali ya Taifa Muhimbili

TANZIA Msanii Ilunga Khalifa maarufu 'C Pwaa' afariki dunia Hospitali ya Taifa Muhimbili

8F328550-10AB-490A-886F-FB14BEF56458.png
 
Cpwaa ni nani?, jina lake kamili, anaishi wapi, ni mkongo au mbantu, amefia WAP, kwa ugonjwa gan, taarifa umezipata wapi n.k
Msanii mkongwe sema currently alikuwa anajihusisha sana mambo ya IT kama sikosei ,kuna ile appl ya m paper sijui ndo wale smartcdes ndo nilikuwa namuona kwa sana...
 
Msanii CPWAA ameaga dunia mapema alfajiri ya leo baada ya kulazwa kwa siku kadhaa.

CPWAA ambaye aliwahi kuunda kundi la Park Lane akiwa na msanii mwenzake Suma Lee kabla ya kundi hilo kuvunjika mwanzoni mwa miaka ya 2000.
========

Msanii wa Bongo Fleva Cpwaa amefariki dunia usiku wa kuamkia Leo Jijini Dar es salaam.

Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na baadhi ya Watu wake wa Karibu (Marafiki) na chanzo cha kufariki kwake inaelezwa kuwa ni ugonjwa uliomsababisha kulazwa kwa takribani siku 3 kabla ya Umauti kumkuta.

Wasafi Media tunatoa Pole kwa Familia ya CPWAA! na Watanzania wote kwa ujumla hususani kiwanda cha muziki wa BongoFleva. Mchango wa CPWAA kwenye muziki kamwe hautasahaurika .
View attachment 1679414
Cpwaaaa Noooo😭😭
Pole kwa mama
Gone too soon rafiki
Pole kwa wote walioguswa na msiba.... wanaIFM 😭😭😭
 
Ni msanii wa bongo fleva.. kitambo flani walikuwa na kundi lao linaitwa Park leen ( sina hakika kama nime spell well)

Miongoni mwa nyimbo alizopata kuimba ni kama:
1. Nafasi nyingi
2. C Pwaa
3. Action

Alipata kuwa na sauti matata sana..
6 IN D Ma
Ni msanii wa bongo fleva.. kitambo flani walikuwa na kundi lao linaitwa Park leen ( sina hakika kama nime spell well)

Miongoni mwa nyimbo alizopata kuimba ni kama:
1. Nafasi nyingi
2. C Pwaa
3. Action

Alipata kuwa na sauti matata sana..
My favourite Track ni 6 In Da Morning huwa haikosi kwenye Majani Playlist zangu.

Rest Easy CP! Japo hajawahi kuelezea kirefu cha CP but i think he meant Computer Programmer!
 
Back
Top Bottom