mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Nimonia na Corona wapi na wapi?
Corona ipo tuendelee kuchukua tahadhari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Corona ipo tuendelee kuchukua tahadhari
Her memory tena?Until we take our final breath he will live in our heart, his love will light our way. Her memory will forever be with us. Every step we take, every move we make, every single day and every time we'll be missing him!
R.I.P mwamba!
😂😂😂 daah!Inang'aaaara CCM, Kimenuuuuka kwa wapinzani
Her memory tena?
[emoji23][emoji23][emoji23] daah!
Hata ikiwepo hatuna cha kufanya nayoTuzingatie kunawa. Mikono na maji tiririka pia tukutumia vitakasa mikono
Deportivo la coruna inamaliza watu duniani
R.I.P C Pwaa
Usinambie unataniaDuuh jamaa kafanana na Mlela balaa
Kwenu umeua wangapiHuu ugonjwa wa kushindwa kupumua umepamba moto. Juzi bugando Nimeona CEO wa taasisi moja akiwa kwenye ventilator ni hatari. Alafu kwa ufupi huu ugonjwa wa kushindwa kupumua umetapakaa hatari.
Mi nlijuaga mshkaji sio mbongo maana anasound ki mbele mbeleMsanii CPWAA ameaga dunia mapema alfajiri ya leo wakati akipatiwa matibabu katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Kwa mujibu wa ndugu wa karibu wa msanii huyo ni kwamba marehemu aliukuwa anaugua ugonjwa wa Nimonia uliopelekea kifo chake.
CPWAA ambaye aliwahi kuunda kundi la Park Lane akiwa na msanii mwenzake Suma Lee kabla ya kundi hilo kuvunjika mwanzoni mwa miaka ya 2000.
View attachment 1679414
Muulize GentamycinAliumwa au ajali? Ongeza maelezo kidogo