TANZIA Msanii Ilunga Khalifa maarufu 'C Pwaa' afariki dunia Hospitali ya Taifa Muhimbili

TANZIA Msanii Ilunga Khalifa maarufu 'C Pwaa' afariki dunia Hospitali ya Taifa Muhimbili

Nimonia na Corona wapi na wapi?
Corona ipo tuendelee kuchukua tahadhari
Screenshot_20210117-101808.jpg
 
Huu ugonjwa wa kushindwa kupumua umepamba moto. Juzi bugando Nimeona CEO wa taasisi moja akiwa kwenye ventilator ni hatari. Alafu kwa ufupi huu ugonjwa wa kushindwa kupumua umetapakaa hatari.
 
Huu ugonjwa wa kushindwa kupumua umepamba moto. Juzi bugando Nimeona CEO wa taasisi moja akiwa kwenye ventilator ni hatari. Alafu kwa ufupi huu ugonjwa wa kushindwa kupumua umetapakaa hatari.
Kwenu umeua wangapi
 
Msanii CPWAA ameaga dunia mapema alfajiri ya leo wakati akipatiwa matibabu katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Kwa mujibu wa ndugu wa karibu wa msanii huyo ni kwamba marehemu aliukuwa anaugua ugonjwa wa Nimonia uliopelekea kifo chake.

CPWAA ambaye aliwahi kuunda kundi la Park Lane akiwa na msanii mwenzake Suma Lee kabla ya kundi hilo kuvunjika mwanzoni mwa miaka ya 2000.

View attachment 1679414
Mi nlijuaga mshkaji sio mbongo maana anasound ki mbele mbele
 
Tumepokea habari za tanzia mda huu tumepoteza kijana nguli kwenye mziki wa kizazi kipya cpwaa alivuma na vibao vyake vingi toka kundi lake pamoja na sumalee na mpaka wana gawanyika bado alitoa ngoma kali sana kama action sliyo shirikiana na dullsykes, marehemu ngwea R.I.P broo
 
Back
Top Bottom