mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Mwenza kawa ostadh yeye alikuwa bado typo kwenye harakati
Duh! Park lane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! Park lane
Daah 6in the morning hahaha,Nafasi nyingine,Taifa la bongo ndani kuna noorah,Parklane,Complex na mchizi flan hivi mhindi sijui mzungu yule,hapa watoto kama Innocentindependent hawaelewi kinaongelewa kitu ganiKwa mujibu wa media za bongo msanii CPWAA, ameaga dunia mapema alfajiri ya leo baada ya kulazwa kwa siku kadhaa.
CPWAA ambaye aliwahi kuunda kundi la ParkLane, akiwa na msanii mwenzake Suma Lee kabla ya kundi hilo kuvunjika,mwanzoni mwa miaka ya 2000, baada ya kutamba na kibao chao "Nafasi Nyingine".
View attachment 1679434
Tutamkumbuka ndugu yetu kwa Crank kali zilizoenda chuo kikuu ambazo hadi sasa bado hazijavunjwa rekodi,kama vile:
-Cpwaa ft ngwear and chege
-Problem
-Action ft MsTrinity,Ngwear na Dully
-Six in the morning.
Ni msanii wa bongo fleva.. kitambo flani walikuwa na kundi lao linaitwa Park leen ( sina hakika kama nime spell well)
Miongoni mwa nyimbo alizopata kuimba ni kama:
1. Nafasi nyingi
2. C Pwaa
3. Action
Alipata kuwa na sauti matata sana..
Corona ipo na tujilinde R.I.P
Kwani nimemtaja jina mtu mbona unanlisha manenoNani enye amekupa power yakutangaza?
Duuh jamaa kafanana na Mlela balaa
MarhabaShkamoo
Marhaba
Kwani nimemtaja jina mtu mbona unanlisha maneno
is denialTz is Covid free or denial??
Mmeanza😀Duuh jamaa kafanana na Mlela balaa
Unamkumbuka kwa lipi marehemu maana vizazi vya kinq Mario hili jina geni
CP=Crazy Power6 IN D Ma
My favourite Track ni 6 In Da Morning huwa haikosi kwenye Majani Playlist zangu.
Rest Easy CP! Japo hajawahi kuelezea kirefu cha CP but i think he meant Computer Programmer!
Korona IPO ndugu zangu tusiache kuchukua tahadhari