Msanii Irene Paul amtuhumu Rammy Galis kufanya maigizo kwenye msiba wa Masogange

Msanii Irene Paul amtuhumu Rammy Galis kufanya maigizo kwenye msiba wa Masogange

Leak

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2012
Posts
52,916
Reaction score
43,505
Wana Jf Wasalaam

Wakati wa kuaga mwili wa Agness pale Leaders msanii Rammy Galis aliyewahi kuwa mpenzi wa Marehemu aliishiwa nguvu hadi kupelekea wasanii wenzie kumbeba lakini kilichoacha maswali ni kitendo cha msanii huyo kuendelea kushikilia kwa nguvu kitambaa chake as if kilikuwa na pesa huku yeye akiwa amelegea kabisa huku idris akimvuta kama mbuzi anaye kwenda kuchinjwa....

Hili kweli lilikuwa igizo au alikuwa ameishiwa nguvu kweli?

Msanii mwenzie Irene Paul ameoneshwa kukerwa sana na igizo lilofanywa na wasanii wenzie wakisaidiana na Idris Sultan.

Wasalaam
IMG_20180422_190858.jpg
IMG_20180422_190750.jpg
 
Irene Paul ndo nan?..kuna kuzimia na kutokujitambua kabsa alf kuna kuishiwa nguvu(miguu kukosa nguvu)lkn unajitambua...mm nahisi ndugu muombolezaji aliishiwa nguvu tu na hajazima
Yani hata miwani haikutikisika? Halafu alikuwa mbuzi au mtu?
 
Bongo Muvi na Bongo Fleva mda wote wanahisi wako Lokesheni hata kwenye kwichikwichi wanapata mda wa kujiselifisha
 
hahaaaa kwa hiyo mnasema Jamaa alikuwa anaigiza...."""!?
 
Watu wanamajonzi Masogange kafa kabla hawajatimiza fantasy zao. Yaani we acha tu
Huyu alikuwa bwana ake kwa miezi 11 mkuu. Kama fantasy alishazitimiza and beyond. Anasema marehemu alimpelekaga kupima ngoma Sinza Palestina hivyo alimla hadi kaVu you know[emoji41]
 
Back
Top Bottom