joely sandu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2017
- 1,962
- 1,818
Labda alijua yupo location
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na jamaa ni msanii kweli maana kuna picha kaonekana kazimia huku amebebwa lakini kitambaa cha kujifutia jasho kakishika mujarabu kabisa hahaha
Alafu anasema alikuwa malawi baada ya kuzipata taarifa alizimia kwanza hahaha jamaaa yaani ni msanii kweli kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji36] [emoji36] [emoji36] I seeWatu wanamajonzi Masogange kafa kabla hawajatimiza fantasy zao. Yaani we acha tu
hahaaa halafu kumbe Hawa Jamaa walifnya kusudi huu ujinga...hahaa huyu idriss akili zake kamkopesha nani sijui"""
Wana Jf Wasalaam
Wakati wa kuaga mwili wa Agness pale Leaders msanii Rammy Galis aliyewahi kuwa mpenzi wa Marehemu aliishiwa nguvu hadi kupelekea wasanii wenzie kumbeba lakini kilichoacha maswali ni kitendo cha msanii huyo kuendelea kushikilia kwa nguvu kitambaa chake as if kilikuwa na pesa huku yeye akiwa amelegea kabisa huku idris akimvuta kama mbuzi anaye kwenda kuchinjwa....
Hili kweli lilikuwa igizo au alikuwa ameishiwa nguvu kweli?
Msanii mwenzie Irene Paul ameoneshwa kukerwa sana na igizo lilofanywa na wasanii wenzie wakisaidiana na Idris Sultan.
WasalaamView attachment 753646View attachment 753647
Mkononi ulishikilia simu yako ya tachi au sio?Mbona possible kwasababu hata mm ilishawahi kunikuta wkt naaga mwili wa marehemu miguu ilkuwa mizito kwel kwel