Msanii Irene Paul amtuhumu Rammy Galis kufanya maigizo kwenye msiba wa Masogange

Msanii Irene Paul amtuhumu Rammy Galis kufanya maigizo kwenye msiba wa Masogange

Na jamaa ni msanii kweli maana kuna picha kaonekana kazimia huku amebebwa lakini kitambaa cha kujifutia jasho kakishika mujarabu kabisa hahaha

Alafu anasema alikuwa malawi baada ya kuzipata taarifa alizimia kwanza hahaha jamaaa yaani ni msanii kweli kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na jamaa ni msanii kweli maana kuna picha kaonekana kazimia huku amebebwa lakini kitambaa cha kujifutia jasho kakishika mujarabu kabisa hahaha

Alafu anasema alikuwa malawi baada ya kuzipata taarifa alizimia kwanza hahaha jamaaa yaani ni msanii kweli kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hahahahaha
 
Tulia wewe jamaa anarekodi movie yake hapo soon anaitoa.
camera zilitegeshwa kama location kabisa.
 
Nawaza tu kama kuna mtu alikua na ahadi ya kukwich na marehemu pindi akipona, sijui sahizi ana hali gani.
 
Wana Jf Wasalaam

Wakati wa kuaga mwili wa Agness pale Leaders msanii Rammy Galis aliyewahi kuwa mpenzi wa Marehemu aliishiwa nguvu hadi kupelekea wasanii wenzie kumbeba lakini kilichoacha maswali ni kitendo cha msanii huyo kuendelea kushikilia kwa nguvu kitambaa chake as if kilikuwa na pesa huku yeye akiwa amelegea kabisa huku idris akimvuta kama mbuzi anaye kwenda kuchinjwa....

Hili kweli lilikuwa igizo au alikuwa ameishiwa nguvu kweli?

Msanii mwenzie Irene Paul ameoneshwa kukerwa sana na igizo lilofanywa na wasanii wenzie wakisaidiana na Idris Sultan.

WasalaamView attachment 753646View attachment 753647

Mwenzenu alikuwa anaandaa movie hapo mtaelewa ikitoka
 
Aliekufa amekufa.
Ulie, ucheke, unune ugaregare haibadilishi kitu.ukwel utabaki pale pale harudi.so sion tatizo ni sehem ya maisha
 
Sasa mnajadili kwa ku refer maoni ya Irene?

Yeye ana ufahamu gani mifumo mwili, zaidi sana sana katoa maoni yake tu.
Hahaha
IMG_20180422_193257.jpg
 
Back
Top Bottom