Msanii Irene Paul amtuhumu Rammy Galis kufanya maigizo kwenye msiba wa Masogange

Msanii Irene Paul amtuhumu Rammy Galis kufanya maigizo kwenye msiba wa Masogange

Ha haaa haaaaaa umenichekesha sana hapo uliposema "Kama mbuzi anaenda kuchinjwa"

Lol aiseee
 
Wana Jf Wasalaam

Wakati wa kuaga mwili wa Agness pale Leaders msanii Rammy Galis aliyewahi kuwa mpenzi wa Marehemu aliishiwa nguvu hadi kupelekea wasanii wenzie kumbeba lakini kilichoacha maswali ni kitendo cha msanii huyo kuendelea kushikilia kwa nguvu kitambaa chake as if kilikuwa na pesa huku yeye akiwa amelegea kabisa huku idris akimvuta kama mbuzi anaye kwenda kuchinjwa....

Hili kweli lilikuwa igizo au alikuwa ameishiwa nguvu kweli?

Msanii mwenzie Irene Paul ameoneshwa kukerwa sana na igizo lilofanywa na wasanii wenzie wakisaidiana na Idris Sultan.

WasalaamView attachment 753646View attachment 753647
Ccm imewafundisha usanii
 
Ccm imewafundisha usanii
Hahahaha
IMG_20180422_193257.jpg
 
Kwenye msiba wowote wakiwepo hawa wehu wa bongo movie jua lazima tasnia ifanye kazi bila kuigiza kuzima wanasema msiba unakua haujanoga kabisa.
 
Hawa watu jamani wanakuwa kama hawana akili hivi ukishakuwa msanii ina maana unawehuka unakuwa mjinga kama Nguruwe?
 
Back
Top Bottom