Sio ndio kamtangazia biashara jamaa aanze kupiga pesa?Kweli maisha bila unafiki hayaendi umeileta kama unamuexpose flani hivi.
sidhani, hao wauza chips wanaingiza pesa kuliko waajiriwa. nafikiri pongezi za mtoa mada ni za dhati.Heading imekaa kichochezi chochezi,duh!!!
Of course ni jambo jema,halafu si ajabu kwasababu haya ni maisha na maisha ni kutafuta na sio kutafutana,.nilivyosoma heading kabla ya explanations niliona ni taarifa iliyokaa kiudaku sana,.kana kwamba joselin ni so special hawezi fanya shughuli kama hizo kwa jamii...ndio maana nimeiohoji heading tuu...pongezi za dhati na nyingi anastahili kabisaa.sidhani, hao wauza chips wanaingiza pesa kuliko waajiriwa. nafikiri pongezi za mtoa mada ni za dhati.
Heri angesema nampongeza toka kwenye headingHeading imekaa kichochezi chochezi,duh!!!
Yeah,yaani MTU ukisoma heading bila maelezo unaona udaku tuuHeri angesema nampongeza toka kwenye heading
wasanii wengi wanachoambulia ni kuuza sura instagram.joselini jamaa kaona maisha yakuendelega kuigiza sio mchongo ni vizuri mimi pia nampongeza mana wasanii kwa sasa wanaimba tu sioni show wanazopata