GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Umeniwahi mkuu
Post itapataje comments[emoji23] [emoji23] ni kama magazeti ya udaku yanavyofanya,hata sio vzuriKweli maisha bila unafiki hayaendi umeileta kama unamuexpose flani hivi.
Yule mwingine anauza karangaLeo nikiwa napita mitaa ya Sinza kumekucha jirani na geti la Law aSchool of Tanzania nimekutana USO kwa USO na msanii Jocelyn akiwa anauza chips.Jocelyn alitamba sana miaka ya 2005 na 2006 na nyimbo zake Perfume na Niite Basi.
Pia aliwahi kushirikishwa kwenye wimbo wa Msanii Duly Sykes uitwao Dhahabu ambamo ndani yake alishirikishwa pia Mr.Blue..Big up sana kwa msanii Jocelyn kwa kuingia kwenye ujasiriamali.
Binafsi nimefurahishwa sana na hustling spirit yako...Pia hongera kwa kupata goli hapo LST kwa sababu ni sehemu ambayo kuna idadi kubwa sana ya wateja
Kumbe unampongeza...okay
M-bongo akiona picha tu, habari atatengeneza mwenyewe....tehteehhKweli maisha bila unafiki hayaendi umeileta kama unamuexpose flani hivi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]M-bongo akiona picha tu, habari bari atatengeneza mwenyewe....tehteehh
Mbona kawaida tyuHuyu huyu wa niite bas??
Kweli ustukane mamba
Hujavuka mto
Nlikua nafkir unataka kumpongezaMbona Diamond anauza karanga. Utafananisha karanga na chips kuku? Joselyn yupo juu zaidi ya Chibu.