Ulimcheki auAna wateja wengi sana, mpk pa kukaa muda mwingine unakosa, good target amefanya, hongeta sana joslin
Yeah nimemwona na nilitaka kula hapo nikakosa pa kukaa inabidi usubiri mtu amalize kula atoke upate nafasiUlimcheki au
Huyu Joslin ana wimbo wake mmoja unahusu ukimwi,huo wimbo unaelezea rafiki yake mmoja alipima ngoma akajikuta hana,akaandaa pati kufurahia afya yake,kwenye hiyo pati akakutana na mwanamke na kuondoka nae,kumbe yule mwanamke alikua ana ngoma! Mwenye kuujua huu wimbo aniwekee hapa kisha anitag,nitashukuru sana.
Sahihi kabisa kama yule anapiga mziki huku anauza karangaArudi kwenye mziki pia maana ana kipaji huku auze chipsi
Asante sana Mkuu.
QJ NILISIKIA AMEOKOKA NA NI FUNDI WELDINGJamaa nimemmiss sn na kundi lake wa Wakali kwanza.....Q Jay yuko wapi?
@PNC 1Bora jamaa anakomaa kiume kuliko PNC ,aliyekuwa analialia.Haya ndio maisha hayana formula,ila ndio utajua hapa bongo hamna washabiki bali oya oya ndio wapo kibao na wale washikadau walio mtumia wamemsusa sasa hivi anapambambana peke yake ndio maisha yalivyo.
unadhan angempongeza kwenye heading ungefungua thread yake sema umetaka kujua kilicho ndani kwa7b ya head .huyu mtoa mada anastahil kuwa mwandishi wa gazetiHeri angesema nampongeza toka kwenye heading