nimeshangaa sana ka-graduate mwaka 2017 wakati kwa takribani miaka sita tulikuwa tunaambiwa anasoma huko uchina.Mambo magumu raundi hii kaona agraduate tu hamna kujifelisha kuendelea kupiga mzigo!!
Maana huyu jamaa kasoma.mda mrefu huko itakuwa ya uprofeseri hiiiBachelor? Masters? Au PhD? Au diploma? Au certificate,?? Mkuu type jibu
Vannesa naye amegraduate?Vannesa ajitahidi kuwepo mahali hapo
Alikuwa anasomea nini miaka 9? au alikuwa ana rudia rudia?
amechukua muda mrefu sana kusoma degree
siku hizi kuna smartest way of earning a degree by decresasing a time in school
you just enroll in a university
do some college level examination test and then transfer credits to your college
smart kid earn their degree in less than two years but smartest earn their degrees in couple of months
ushawahi kujiuliza kijana ana miaka 25 ila ashaua bachelor masters and phd?
juxx anitafute nimfundishe namna ya kusoma in a smartest way.........teh teh teh
Wakikujibu alikuwa anasome nini naomba nitagAlikuwa anasomea nini miaka 9? au alikuwa ana rudia rudia?
Hata angesoma miaka 100 kagraduate mnataka nini? mwambie na BASHITE akasome huko mnadhani ni rahisi eee
mbona umekua mkali hivyo?Mchukue kaka yako DAB akasome kwa style hiyo awe na vyeti full stop yeye kamaliza na cheti anacho
Mkuu Mbona Bashite kamaliza MUCCOBS au? Nadhani kosa la Bashite ni kutumia cheti cha mtu form four the rest mbona katusua vizuri tu, kuanzia astashahada hadi shahada ya kwanza.Hata angesoma miaka 100 kagraduate mnataka nini? mwambie na BASHITE akasome huko mnadhani ni rahisi eee
Kulingana na hilo Joho inaonekana ni Undergraduatehata mimi nasubiri hilo jibu kwa lisaa sasa.
anacho cha level gani? a dream of the star is to reach the skyMchukue kaka yako DAB akasome kwa style hiyo awe na vyeti full stop yeye kamaliza na cheti anacho
Kwa level gani mkuu?unajua mkiamua kuweka isssue ya mtu humu basi members wana haki ya kujua kiukamilifu.Acheni dharau jamaa kasoma ICT
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Wakikujibu alikuwa anasome nini naomba nitag
joho sio tatizo....alikuwa anasomea nini?Kulingana na hilo Joho inaonekana ni Undergraduate
Alikuwa anasomea nini miaka 9? au alikuwa ana rudia rudia?