sylivester makongo
JF-Expert Member
- Jun 1, 2017
- 215
- 82
Hiyo itakuwa Advanced CertificateBachelor? Masters? Au PhD? Au diploma? Au certificate,?? Mkuu type jibu
Mkuu inakuwaje hiyo hebu twambie wote sio jux tuamechukua muda mrefu sana kusoma degree
siku hizi kuna smartest way of earning a degree by decresasing a time in school
you just enroll in a university
do some college level examination test and then transfer credits to your college
smart kid earn their degree in less than two years but smartest earn their degrees in couple of months
ushawahi kujiuliza kijana ana miaka 25 ila ashaua bachelor masters and phd?
juxx anitafute nimfundishe namna ya kusoma in a smartest way.........teh teh teh
MkuuHabari nzuri, hongera kwake.
Ukiambiwa uchague kati ya Jux na Davido Bashite..Huyo Juma alizungusha form 4
Kapataje shavu la kusoma huko au ni chuo cha kata?
Kwan davido ni bashiteUkiambiwa uchague kati ya Jux na Davido Bashite..
Unachagua yupi?
Daudi =David= DavidoKwan davido ni bashite
Hahaha lakin huyo bashite wa Nigeria ndyo msanii msomi Africa na hana vyeti fekiDaudi =David= Davido
Jiongeze basi mkuu [emoji41]
nimeshangaa sana ka-graduate mwaka 2017 wakati kwa takribani miaka sita tulikuwa tunaambiwa anasoma huko uchina.
au alikuwa anasomea udaktari na upadre?.maana kusoma udaktari au upadre huchukua si chini ya miaka 5 hadi saba.
Jux amejitahidi saana kuweza kufanya muziki ,shule , hongera zake , Kuna wengine anang'ang'ania kumaliza shule mapema then anasota miaka mingi kutafuta kazi , bora ww ambaye ulifanya vitu simultaneouslyItakuwa ana akili nzito kama mkuu wake wa mkoa , ch kushukuru kamaliza huenda alikuwa ana disco ,anarudia mwaka ,full sup