Msanii Jux amaliza masomo yake nchini China!!!

Msanii Jux amaliza masomo yake nchini China!!!

Amesoma shahada ya nini
Ni Mtihani mwingine tusubir miaka saba kujibiwa
Hongera sana Juma jitihada hubomoa milima
 
amechukua muda mrefu sana kusoma degree
siku hizi kuna smartest way of earning a degree by decresasing a time in school

you just enroll in a university
do some college level examination test and then transfer credits to your college
smart kid earn their degree in less than two years but smartest earn their degrees in couple of months

ushawahi kujiuliza kijana ana miaka 25 ila ashaua bachelor masters and phd?

juxx anitafute nimfundishe namna ya kusoma in a smartest way.........teh teh teh
Mkuu inakuwaje hiyo hebu twambie wote sio jux tu
 
Nimejikuta nakumbuka mashairi ya bwana mmoja hapa jijini.


"Saa hii Kuna zinga la bitoz linatuwakilisha China ka'balozi"


Hongera kwa kumaliza Elimu ya Juu.
 
Haya atuletee elimu yake huku tz tuifanyie kazi pongezi zake
 
Bidhaa zote toka China nnakuwaga na mashaka nazo
Anyways HONGERA zake
 
nimeshangaa sana ka-graduate mwaka 2017 wakati kwa takribani miaka sita tulikuwa tunaambiwa anasoma huko uchina.

au alikuwa anasomea udaktari na upadre?.maana kusoma udaktari au upadre huchukua si chini ya miaka 5 hadi saba.

wewe tatizo lako ni lipi? ulilipa ada?
 
Huyu mchizi niliwahi kuskia kwamba alipokuwa mwaka wa kwanza huko China, alikuwa anawaambia wanafunzi wenzie yeye ni black american hili kuepusha kudharauliwa.


Anyway hongera zake nyingi kwa kumaliza salama hicho alichokuwa anakisomea.
 
Jux
Itakuwa ana akili nzito kama mkuu wake wa mkoa , ch kushukuru kamaliza huenda alikuwa ana disco ,anarudia mwaka ,full sup
Jux amejitahidi saana kuweza kufanya muziki ,shule , hongera zake , Kuna wengine anang'ang'ania kumaliza shule mapema then anasota miaka mingi kutafuta kazi , bora ww ambaye ulifanya vitu simultaneously
 
mh! hawa wasanii wetu mara nyingi huwa hawaeleweke hapo ukute alikuwa anafanya shooting ya wimbo wake mpya ,yanakuwa kama yale ya yule mzee wa kupakwa mafuta mgongoni na makalioni. time will tell.
 
Back
Top Bottom