tracy martins
JF-Expert Member
- Aug 5, 2014
- 3,535
- 1,482
Basi jamaa Mjanja atakuwa amewakaza Sana mademu wa kichina , unajua tz atujulikane kiivyo kuepusa maswali mengi inabidi adanganyeHuyu mchizi niliwahi kuskia kwamba alipokuwa mwaka wa kwanza huko China, alikuwa anawaambia wanafunzi wenzie yeye ni black american hili kuepusha kudharauliwa.
Anyway hongera zake nyingi kwa kumaliza salama hicho alichokuwa anakisomea.
Basi jamaa Mjanja atakuwa amewakaza Sana mademu wa kichina , unajua tz atujulikane kiivyo kuepusa maswali mengi inabidi adanganye
Cha msingi degree..age is jct a numberamechukua muda mrefu sana kusoma degree
siku hizi kuna smartest way of earning a degree by decresasing a time in school
you just enroll in a university
do some college level examination test and then transfer credits to your college
smart kid earn their degree in less than two years but smartest earn their degrees in couple of months
ushawahi kujiuliza kijana ana miaka 25 ila ashaua bachelor masters and phd?
juxx anitafute nimfundishe namna ya kusoma in a smartest way.........teh teh teh
Mbona sijamuona Vanessa Mdee akimuunga mkono ?[/QUOTE
Duh! Ila Vanessa mtamu sanaWameachana ni marafiki tu wakawaida kwa sasa. Source millardayo.
Fafanua mkuuMambo magumu raundi hii kaona agraduate tu hamna kujifelisha kuendelea kupiga mzigo!!
Nauliza jamani eti jux amemaliza uko China na fani gani? Naomba msaada
P.H.D ya computer science form six alimalizia MZUMBE kama sijakosea
Maviiiiiiiiii anaanzaje kwa mfano.Mi nliwai kuckia eti anachukua udactari
Teh tehMaviiiiiiiiii anaanzaje kwa mfano.