Msanii Jux amaliza masomo yake nchini China!!!

Msanii Jux amaliza masomo yake nchini China!!!

Huyu mchizi niliwahi kuskia kwamba alipokuwa mwaka wa kwanza huko China, alikuwa anawaambia wanafunzi wenzie yeye ni black american hili kuepusha kudharauliwa.


Anyway hongera zake nyingi kwa kumaliza salama hicho alichokuwa anakisomea.
Basi jamaa Mjanja atakuwa amewakaza Sana mademu wa kichina , unajua tz atujulikane kiivyo kuepusa maswali mengi inabidi adanganye
 
Basi jamaa Mjanja atakuwa amewakaza Sana mademu wa kichina , unajua tz atujulikane kiivyo kuepusa maswali mengi inabidi adanganye

hiyo inawezekana kabisa

Lakini pia kuna kasumba moja ambayo ndio sababu hasa, vyuo vingi vya huko dunia ya kwanza wanafunzi wa kiafrika huwa wanadharauliwa sana na wanaoonekana si kitu kabisa.

Niliwahi kupewa shuuda na mwalimu wangu aliyekutana na hayo maswahibu wakati anachukua masters chuo kimoja huko Hamburg.
 
amechukua muda mrefu sana kusoma degree
siku hizi kuna smartest way of earning a degree by decresasing a time in school

you just enroll in a university
do some college level examination test and then transfer credits to your college
smart kid earn their degree in less than two years but smartest earn their degrees in couple of months

ushawahi kujiuliza kijana ana miaka 25 ila ashaua bachelor masters and phd?

juxx anitafute nimfundishe namna ya kusoma in a smartest way.........teh teh teh
Cha msingi degree..age is jct a number
 
P.H.D ya computer science form six alimalizia MZUMBE kama sijakosea
 
Back
Top Bottom