Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Aliaga kwa mbwembweee haram sheikh mziki haram.....kapigwa njaa hata mwezi haujaisha karudi kutuburudisha.Nani ana video ya mzee yusuph wakati anaaga kuacha muziki π€£π€£π€£
Eve ,πππ€£Aliaga kwa mbwembweee haram sheikh mziki haram.....kapigwa njaa hata mwezi haujaisha karudi kutuburudisha.
Ngoja nsikilize kwanza kibao chake hapa V. I. P huwa kinankumbusha mbali chuo huko nikiwa namiliki sabufa babu.
Mbona unadandia treni ya SGR kwa mbele....mimi nilikuwa namzungumzia MB Dogg....je alikuwa anaimba rap katuni?Peak ipi? Kwa nyimbo ngapi? Alikuwa na rap katuni style wala hakuwa na peak yoyote.
Hii yA SGR Morogoro inatumia four hours? Haina kitu kabisa.Mbona unadandia treni ya SGR kwa mbele....mimi nilikuwa namzungumzia MB Dogg....je alikuwa anaimba rap katuni?
KHii yA SGR Morogoro inatumia four hours? Haina kitu kabisa.
Mzee Yusufu alijua akiimba Kaswida angeoiga hela, kwahiyo na hao masheikh walio mzunguka walikuwa wajanja wajanja, ndio maana ikawa rahisi kurudi.Hebu hukooo.....aliaga mzee yusuph, amezungukwa na masheikh anabubujikwa michozi, yuko wapi leo. Njaa ni kitu kingine
Kula tende sheikh kula tendeMzee Yusufu alijua akiimba Kaswida angeoiga hela, kwahiyo na hao masheikh walio mzunguka walikuwa wajanja wajanja, ndio maana ikawa rahisi kurudi.
Wapo ambao Nia zao zilikuwa njema na Allah akawafanyia wepesi wakabaki katika msimamo na hawakurudi na hawatorudi.
Mziki ni Ushetani kama akili yako inakuwa nafanya kazi vizuri uhitaji kuambiwa.
Kila nikipita nyuma ya roman catholic namuona pale kwenye matairi Ile nyumba karibu na msikiti yani michongo inaonekana imebuma kbsaWasanii wa zamani wengi wamevurugwa wana stress sana.
Mb dogg nipo nae kitaa ubungo makuburi.. haeleweki yaani
Mbona nilishawahi kusikia eti anafanya biashara ya vinyango huwa ana export nchi za Germany, Holland na UK ?
Ni kweli Mziki zamani ulikua haulipi, watu walifanya mziki kama starehe na njia yakufungua fursa nyingine.
Msanii aliyetamba na ngoma ya Imekaa vibaya na Tumbo joto , Abdul Miraj maarufu kama Kali P amesema hataki tena kusikia masuala ya Muziki .
Kali P amesema ameamua Kumrudia Muumba wake na sasa hive ana takribani miaka 12 ameingia katika dini na ameachana na maswala ya Muziki.
"katika dini yetu ya Uislamu muziki ni haramu ndio maana mimi nikajitoa kwa sababu ya kumuogopa Mungu, Kama Ujumbe kuna njia watu kuwafikishia ila sio Mziki, siku ambayo niliacha mziki nafsi yangu ilisema sipendi tena Mziki. Kipindi nafanya Muziki nilikuwa na miaka 22, nyimbo zangu zikipigwa najisikia vibaya sana na sina habari nazo tena, atakayeimba atakuwa anajichochea moto mwenyewe" Alisema Kali P
kali P kwa sasa anafahamika kama Sheikh Abdul Miraj na anapatikana maeneo ya Kitunda.
Toa sifuri moja hapo, afu inayobaki igawe kwa 1.5Muziki wa zamani haukuwa na hela ndio maana wanauchukia.
Internet na Digital platforms ndio zimeleta utajiri kwenye muziki. Leo hii ray vanny anapewa ubalozi wa tembo card crdb na kukunja milioni 500. Anaanzia wapi kuuchukia mziki.
Huwezi msikia alikiba aseme anauchukia mziki.. huku ameimba toka enzi za kina Kali P wanaimba
Vingi kuhusu Suma lee Mkuu..1. Muziki wake haukua na maisha marefu.
2. Aache unafiki.
Katoa nyimbo mbili kaingia mitini hana hit nyingine.
Haha Sajo AkA mentali..Kuna yule wa Daz Nundaz anaitwa Sajo naye Kuna siku nilimuona maeneo ya Kimara Korogwe yupo na kimashine Cha Kubetisha Cha Premier Bet. Yaani kachoka na Kawa kama kapagawa πππ
Wapo wanaoacha kweli kama suma leeHana tofauti na mzee Yusuph. Alisema amemrudia Mungu kumbe aliona upepo umeisha. Baada ya muda kidogo akarudi tena na hapo ndipo alipotezwa mazima.
Ifike mahali msanii akiwa na heshima mtaani aitumie vizuri. Ukiona umeanza kuchuja unatangaza kustaafu na sio kumrudia Mungu. Hii itafanya usikose vimiamia vya shows za birthday parties na watu wataendelea kusikiliza nyimbo zako zilizohit huku wakiacha kukusumbua na ngoma mpya. Utakuwa legend
Hahahahπ πHahaha we tunakaa mtaa mmoja. πππ
Njaa mbaya,nenda kale futari sheikhMziki ni Ushetani kama akili yako inakuwa nafanya kazi vizuri uhitaji kuambiwa.
Mmoja kati ya 10.Wapo wanaoacha kweli kama suma lee