sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Killy ameamua kufunguka baadhi ya ujinga uliokuwa unaendelea kwenye lebo iliyokufa ya jembe ni jembe iitwayo konde gang. Aliongea akijibu shutuma nzito alizotoa msanii mfupi machachari anaetumia majani mengi aitwae harmonize akiojiwa xxl.
Nb: wakati tunawaambia haya mkatushambulia kuwa tuna chuki tunataka msanii awe mmoja tu hapa bongo.
Tanzania lebo ni moja tu WCB ogopa matapeli.