Msanii Killy afunguka mazito: Wakati tupo Konde Gang hatukuwa na pakuishi

Msanii Killy afunguka mazito: Wakati tupo Konde Gang hatukuwa na pakuishi

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
20230821_122949.jpg


Killy ameamua kufunguka baadhi ya ujinga uliokuwa unaendelea kwenye lebo iliyokufa ya jembe ni jembe iitwayo konde gang. Aliongea akijibu shutuma nzito alizotoa msanii mfupi machachari anaetumia majani mengi aitwae harmonize akiojiwa xxl.

Nb: wakati tunawaambia haya mkatushambulia kuwa tuna chuki tunataka msanii awe mmoja tu hapa bongo.

Tanzania lebo ni moja tu WCB ogopa matapeli.
 
Back
Top Bottom