Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,589
- 35,268
Rayvann ndo wale wale tuu Yule dogo macvoice ameishia kuwa mlamba lips hapa mjini , mda si mrefu ataanza kupakuliwaRayvanny vipi nae? Au hana muhuri?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rayvann ndo wale wale tuu Yule dogo macvoice ameishia kuwa mlamba lips hapa mjini , mda si mrefu ataanza kupakuliwaRayvanny vipi nae? Au hana muhuri?
Yule jomba ana kisebengo sana. Hawezi kuvunga labda awe hajaiona tu. Akiiona lazima apite nayo. Ngoja nim-DM ili aruke nayo kama alikuwa badoWakazi hajaiona hii au haimuhusu.
Labda ingekuwa wasafYule jomba ana kisebengo sana. Hawezi kuvunga labda awe hajaiona tu. Akiiona lazima apite nayo. Ngoja nim-DM ili aruke nayo kama alikuwa bado
Kwanini asipange na akale studio?Ibra ni mkataba tu unambana angeshasepa, maana kuvunja mkataba konde gang ni billion moja.
Imagine unamlaza msanii studio alafu akitaka kuondoka sharti atoe billion moja
Dpw. Mrejeshe pesa za mwarabu hakuna cha lebo wala niniView attachment 2723828
Killy ameamua kufunguka baadhi ya ujinga uliokuwa unaendelea kwenye lebo iliyokufa ya jembe ni jembe iitwayo konde gang. Aliongea akijibu shutuma nzito alizotoa msanii mfupi machachari anaetumia majani mengi aitwae harmonize akiojiwa xxl.
Nb: wakati tunawaambia haya mkatushambulia kuwa tuna chuki tunataka msanii awe mmoja tu hapa bongo.
Tanzania lebo ni moja tu WCB ogopa matapeli.
Hana pesa.Kwanini asipange na akale studio?
Hili naliunga mkono mchana kweupe lakini tusimsahau salam sk naye ameweka mchango mkubwa hasa safari za nje.....Tanzania record lebel ni moja tu WCB.
Diamond ndie mtu pekee alieweza kusimamisha lebo ya mziki inayoeleweka.
Hata kina babu tale na salam hawajawai kuweza hilo. Diamond ndie amewabeba yeye kama yeye kuisimamisha WCB
Show off za kukodisha kwa masela, juzi kati hapa msela wangu katoa gari yake benz hizi E class kwa msanii mmoja hivi, kapewa laki 5 kwa siku kadhaa....msanii anaenda nayo studio, gym, saloon, na site.Huyo chalii si ana crown? Anaendesha crown kulala studio? Au ndo ndinga ya show off
Ila sallam kashindwa kumrudisha mjini mr nice, mond nyota imekubali tu, angeweza kumrudisha nice tungesema kweli mwamba meneja wa nguvu.Hili naliunga mkono mchana kweupe lakini tusimsahau salam sk naye ameweka mchango mkubwa hasa safari za nje.....
Sallam hataki kulima kwenye mawe huwezi ona jinsi Mr nice umri ulishamtupa mkono....Ila sallam kashindwa kumrudisha mjini mr nice, mond nyota imekubali tu, angeweza kumrudisha nice tungesema kweli mwamba meneja wa nguvu.
Sallam pia anamsimamia Ay je amefika level ya mondiSallam hataki kulima kwenye mawe huwezi ona jinsi Mr nice umri ulishamtupa mkono....
Mond ana uwezo binafsi yeye kama yeye.Sallam pia anamsimamia Ay je amefika level ya mondi
Hiki Ndicho ulitakiwa useme imagine mtu kama fella anamsaidia nini diamond?Mond ana uwezo binafsi yeye kama yeye.
Kwenye maisha atayekuinua ni wewe.
Sawa tuko pamoja kwa hili.Hiki Ndicho ulitakiwa useme imagine mtu kama fella anamsaidia nini diamond?
Anamsaidia waganga wapya [emoji2]Hiki Ndicho ulitakiwa useme imagine mtu kama fella anamsaidia nini diamond?
Usanii hauna faida yeyote kijijini kwetu tapeli ndio anaitwaga msanii. Hauwezi kulea familia na kufanya maendeleo kupitia usanii.View attachment 2723828
Killy ameamua kufunguka baadhi ya ujinga uliokuwa unaendelea kwenye lebo iliyokufa ya jembe ni jembe iitwayo konde gang. Aliongea akijibu shutuma nzito alizotoa msanii mfupi machachari anaetumia majani mengi aitwae harmonize akiojiwa xxl.
Nb: wakati tunawaambia haya mkatushambulia kuwa tuna chuki tunataka msanii awe mmoja tu hapa bongo.
Tanzania lebo ni moja tu WCB ogopa matapeli.
Usanii hauna faida yeyote kijijini kwetu tapeli ndio anaitwaga msanii. Hauwezi kulea familia na kufanya maendeleo kupitia usanii.