sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Una akili nyingi sana mkuuHarmonize hana sifa ya kuwa na label
Ibra ni mkataba tu unambana angeshasepa, maana kuvunja mkataba konde gang ni billion moja.Naunga hoja mkono had Ibrah Analalamika!
Kwani harmonize kasaidia wangapi?we umesaidia wangapi?
Ingekuwa ni ishu ya WCB angekesha wiki nzima anajidai anapigania mziki.Wakazi hajaiona hii au haimuhusu.
Ujinga wao wenyewe...wakati wanasaini huo mkataba walikua wamebwia mbandandu???Ibra ni mkataba tu unambana angeshasepa, maana kuvunja mkataba konde gang ni billion moja.
Imagine unamlaza msanii studio alafu akitaka kuondoka sharti atoe billion moja
Msanii akiwa na mkataba mbovu ndio umlaze stoo?Ujinga wao wenyewe...wakati wanasaini huo mkataba walikua wamebwia mbandandu???
WCB for life!Tanzania record lebel ni moja tu WCB.
Diamond ndie mtu pekee alieweza kusimamisha lebo ya mziki inayoeleweka.
Hata kina babu tale na salam hawajawai kuweza hilo. Diamond ndie amewabeba yeye kama yeye kuisimamisha WCB
Mbandandu bro....Ujinga wao wenyewe...wakati wanasaini huo mkataba walikua wamebwia mbandandu???
Rayvanny vipi nae? Au hana muhuri?Una akili nyingi sana mkuu
Huyo chalii si ana crown? Anaendesha crown kulala studio? Au ndo ndinga ya show offIbra ni mkataba tu unambana angeshasepa, maana kuvunja mkataba konde gang ni billion moja.
Imagine unamlaza msanii studio alafu akitaka kuondoka sharti atoe billion moja
Hiyo ndinga anasema amenunua baada ya kutoka konde gangHuyo chalii si ana crown? Anaendesha crown kulala studio? Au ndo ndinga ya show off
ππππuzi umejaa chawa tupu