Mzee baba naona unaingiza siasa kwenye mambo hayana siasa Kama unataka siasa Kuna jukwaa lake kabisa.ukweli ni kwamba Serikali inamuandama Jide kwakua amekataa kata kata kujiunga na siasa za CCM za maji taka. Ushahidi upo, kuna nyimbo za kipuuzi zaidi na za hovyo sana na hutakaa BASATA waongeee kitu