Mibas
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 4,196
- 6,367
Ushaanza kuingiza siasa
So what?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushaanza kuingiza siasa
Ila wapo wanaoweza kuhamasishwa kwa kuimbiwa na msanii kuvuta weed?Next Man Hakuna mtu anayeweza kuamazishwa kufanya ngono kwa kuimbiwa na msanii labda ana tatizo kichwani utaamazishwa ngono labda tu mwanamke kapita sehemu kavaa nusu uchi au kanga moko au kuangalia website za porno
Kumbe chokochoko zote amekataa kumtumikia kafiriPamoja na kua mimi siamini uhalali wa mziki lakini huyu dada huwenda kitendo chake cha kukataa kushiriki/kutumbuiza katika kampeni za ccm kitamponza kwa njia moja au nyingine maana ccm wana chuki kama wanazi enzi za hitler.
Hakuna kitu Kama hichoIla wapo wanaoweza kuhamasishwa kwa kuimbiwa na msanii kuvuta weed?
Tena Hawa ndio wamejaa...."wazee wa migodi hawagongagi hodi"...wangeanza naoMbona Kuna Nyimbo Nyingi tuu zina hamasisha Watu kula Ndogo Hawajaziona hizo wameona Bangi tuu !?
Mfano; "Baby Papasa kichwaa Mjusi kafiri Nisafishe mtaro"
Mfano: "Watoto wa Mama wanacheza hadi kwenye matope"
Au kula Tigo sio kosa, kosa ni kula Bangi ??
Kuna watu wana nguvu bhana.Yule mdau aliyeshusha uzi ombi lake limesikika sasa.
Labda hawajasikia malalamiko.Mbona Kuna Nyimbo Nyingi tuu zina hamasisha Watu kula Ndogo Hawajaziona hizo wameona Bangi tuu !?
Mfano; "Baby Papasa kichwaa Mjusi kafiri Nisafishe mtaro"
Mfano: "Watoto wa Mama wanacheza hadi kwenye matope"
Au kula Tigo sio kosa, kosa ni kula Bangi ??
Sio Swala la MalalamikoLabda hawajasikia malalamiko.
Aloooh wako wengi SanaaTena Hawa ndio wamejaa...."wazee wa migodi hawagongagi hodi"...wangeanza nao
Ha haaaaa daahhh !Mimi ni mzee mpya nashukuru nimevuka Rika hatarishi salama.Sio Swala la Malalamiko
Kwani hawaoni !?Aloooh wako wengi Sanaa
Mara mia waimbe Mapenzi ya kawaida tuu
Hawajui wanakuharibu Jaona Mwisho wa Siku na Wewe utoe mgodi hahahh
Hahah kuna Wazee wapya Kama Wewe wanachimbisha Migodo Mjini hapaHa haaaaa daahhh !Mimi ni mzee mpya nashukuru nimevuka Rika hatarishi salama.
Aisee upo sahihi sana!Hahah kuna Wazee wapya Kama Wewe wanachimbisha Migodo Mjini hapa
Just play safe Ndio Solution,
No ni red indicaKwani weed ina inamaanisha bangi???(marijuana /cannabis sativa?