RedBacteria
Member
- Mar 3, 2013
- 38
- 4
Ndugu yangu ungekuwa hapa nilipo ungekula bia mbili. Umenikuna kwa kutamka ukweli na hii radio yetu ya maombolezo.R.I.P Langa....Clouds kama kawaida yenuuuuuuu mtamrusha sana ila ndo hivyo alipokuwa hai mlikuwa hamumrushi....kazi kwenu radio ya maombolezo ya wasanii..leo hata sport extra sickilizi
Jibu swali hapa, acha kukimbilia kusema ni changie! Sio kila 'uzi' lazima mtu achangie.
Hata kukuuliza swali ni mchango wangu kwa wana-jamvi kuweka record zao sawa!
Wewe unaoneka una ID mbili hapa JF kulinga na maelezo yako katika kuchangia huu Uzi.
Ukitumia sana madawa na ukaacha. Mwili unakuwa very weak sana. Hata mafua yakikupitia unaondoka.Dah lakini Langa hajafa kwa madawa alishaacha ni malaria, hapo ndo tujue kifo kinapangwa na Mungu mwenyewe siku ikifika
( Langa Kileo)
Jun 5 near Dar es Salaam ¡¤
Remember how we used to chill n
smoke together
roll ganja drink liquer and joke
together
I used to call u snoop Dogg, U used
to call me Tupac
We was supposed to do a good
track but u left too fast.
R.I.P Ngwea)
Hakika hakuna aijuae Kesho,Mungu ndo anajua P K A
BRADAH
"Hakuna haja ya kujiona special hata uwe mrefu vipi huwezi kuijua kesho"-Nikki Mbish
speechless
Wakati mwingine unakosa cha kusema!
Tufanye kitu tunapoteza vipaji
Labda jamaa hakuacha alikuwa anaendelea kugonga kisiri
Nasikia ray c nae karudi mule.mule....
Wat so special in drugs...mpk unanogewa hivi
Ukitumia sana madawa na ukaacha. Mwili unakuwa very weak sana. Hata mafua yakikupitia unaondoka.
hivi ni stress au ni starehe tu inafanya mtu atumie drugs?? duh sasa tunapata picha ya nini kinaendelea nyuma ya pazia la hawa 'ma xelebrity' wa bongo. Zamani wazazi waliwakanya watori wao kuimba bongo flava coz ilikuwa regarded ni uhuni, Kwa kizazi cha sasa wazazi na walezi wawapige stop watoto kupenda usanii coz wataishia kuwa mateja.! so so sad lol
Sote ni wa Allah SW na kwake tutarejea........RIP..........
Rip..........