Msanii Langa afariki Dunia!

Msanii Langa afariki Dunia!

R.I.P Langa....Clouds kama kawaida yenuuuuuuu mtamrusha sana ila ndo hivyo alipokuwa hai mlikuwa hamumrushi....kazi kwenu radio ya maombolezo ya wasanii..leo hata sport extra sickilizi
Ndugu yangu ungekuwa hapa nilipo ungekula bia mbili. Umenikuna kwa kutamka ukweli na hii radio yetu ya maombolezo.
 
Watu waitumie hii kama FURSA sasa,si ndo tabia yao

MwanaFatuma aandae 15% nyingine! So zitakuwa 30%,15% za ngwea na 15% za langa!

Sipati picha ya collabo la huko! Hapa langa hapa ngwea

RIP langa!


Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Jibu swali hapa, acha kukimbilia kusema ni changie! Sio kila 'uzi' lazima mtu achangie.

Hata kukuuliza swali ni mchango wangu kwa wana-jamvi kuweka record zao sawa!

Wewe unaoneka una ID mbili hapa JF kulinga na maelezo yako katika kuchangia huu Uzi.

Hapana ndugu yangu sina ID mbili humu na huwezi amani nimejiunga jana na leo hii ni memba,tatizo hutaki kuamini kwamba mi ni mgeni.tafuta uzi flNi ju jana nilishaur muwasaidie hao mateja kuliko kujifanya mnawajua wakifa kama hivi.uzi ulimuhusu Tid kutolilwa shoo huku ughaibuni alipokuja juzi,mi nilimona na hadi hotel alixofikia naijua na najua aliyemtapel
 
Dah lakini Langa hajafa kwa madawa alishaacha ni malaria, hapo ndo tujue kifo kinapangwa na Mungu mwenyewe siku ikifika
Ukitumia sana madawa na ukaacha. Mwili unakuwa very weak sana. Hata mafua yakikupitia unaondoka.
 
wenyewe wanaita FURSA ,ikitokea na wewe ndipo pa kutokea.
hawa jamaa clouds noma sana.
alafu hawapo humu jamvini,ungeona kina Gerald Hando wanavyodondoka humu na kujipendekeza kwao kwa mabosi wao.
 
Du si J3 nilimsikia akisema kuwa ameibiwa beat na Fid Q sasa yamekuwa haya
 
( Langa Kileo)
Jun 5 near Dar es Salaam ¡¤

Remember how we used to chill n
smoke together
roll ganja drink liquer and joke
together
I used to call u snoop Dogg, U used
to call me Tupac
We was supposed to do a good
track but u left too fast.
R.I.P Ngwea)

Hakika hakuna aijuae Kesho,Mungu ndo anajua P K A
BRADAH

Mbona umekua mwepesi wa kukimbilia kwenye wall post za marehemu, huku ukiacha baadhi ya mashahiri yake yaliyoifunza kama si kuielekeza jamii. Ama kweli nimeamini "Binadamu wengi, ila watu wachache" by Langa. Na "ukitaka kumficha Mwafrika weka ujumbe kwenye kitabu"
 
hivi ni stress au ni starehe tu inafanya mtu atumie drugs?? duh sasa tunapata picha ya nini kinaendelea nyuma ya pazia la hawa 'ma xelebrity' wa bongo. Zamani wazazi waliwakanya watori wao kuimba bongo flava coz ilikuwa regarded ni uhuni, Kwa kizazi cha sasa wazazi na walezi wawapige stop watoto kupenda usanii coz wataishia kuwa mateja.! so so sad lol

lakni jamaa ni malaria mkuu co poda
 
Back
Top Bottom