starehe ilipo ndo langa nipoo
Mkuu,naon umewakumbuk legends maana unatembelea thread za vifo tu......
yaani enzi hizo nyimbo zote zipo kichwani hawana wa kuziba mapengo yao ssa hv sina hawa wasanii sina ht verse moja
yaani enzi hizo nyimbo zote zipo kichwani hawana wa kuziba mapengo yao ssa hv sina hawa wasanii sina ht verse moja
Naikumbuka hii moment Ali freestyle kuhusu NgwairNi kweli katuaga kijana wetu. Hili ni pigo lingine kwa P,funk sababu ni majuzi amemaliza kumtengenezea wimbo mpya ambao alitegemea utamtoa baada ya kua amesimama kwa muda mrefu akitibia kutokana na utumiaji wa madawa ya kulevya. Ijumaa iloisha alikua channel 5 akitambulisha wimbo wake na kielezea jinsi alivo mjua ngwair. Hili ni pigo kwa wapenda Hiphop. pole wafiwa pole king'oko. arosto naiogopa sana. mia
Nchi ishauzwa hii, haina kusikiliziakimbia mitihani imevuja nyie hamjasikia-Langa
Sina Album kwa wadosi ninakubalika kitaani wengi wamegonga copy wana maendeleo gani? Tunahitaji mapinduzi hasa ya kimauzo sio kuendekeza upuuzi na usanii kisa tuzo.kimbia mitihani imevuja nyie hamjasikia-Langa
Rekebisha kauli....we wakiume man...Langa yupi? Yule tejaaaa? Ambae alisema ameacha?
Ya zamani sana hii mkuuCorona hiyo.
2013 korona vipi sasaCorona hiyo.
Mzee baba gonjwa gani? Marelia?Dah..,..hili gonjwa liende tu....mbona linatumaliza hivi [emoji2960] [emoji41]
Sent using Beretta ARX160
Dah...Mzee baba gonjwa gani? Marelia?