Msanii Langa afariki Dunia!

Msanii Langa afariki Dunia!

Ni Langa.Amefariki jioni hii katika Hospitali ya Rufani Muhimbili.Alianzia kundi la WAKILISHA lililowajumuisha yeye,Langa,Shaa na dada mwingine. RIP Langa
 
jamani mambo ya kukaa vijiweni kuvuta bangi mbaya sana.
Ujoka huanzia hukohuko leo unagongeshea bangi ya mshikaji wako
Stimu unayoipata ni kiboko kumbe mwenzio anachanganyia unga.
Nawewe utaiga kidogokidogo kuchanganyia mwisho wa cku unakuwa umebobea chakula chenyewe chips yai.
Nawashangaa wanaosema bora bangi wakat tatizo huanzia huko
 
langa kafa kwa malaria na sio madawa.... RIP langa...
 
Jina kamili na taarifa japo kwa kifup km alikuwa anaumwa or ni ajali?Msiba wameweka wap n.k,R.I.P

Sasa me nashindwa kuielewa hii serikali, kwani huo unga unapitia wapi?

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Ni kweli katuaga kijana wetu. Hili ni pigo lingine kwa P,funk sababu ni majuzi amemaliza kumtengenezea wimbo mpya ambao alitegemea utamtoa baada ya kua amesimama kwa muda mrefu akitibia kutokana na utumiaji wa madawa ya kulevya. Ijumaa iloisha alikua channel 5 akitambulisha wimbo wake na kielezea jinsi alivo mjua ngwair. Hili ni pigo kwa wapenda Hiphop. pole wafiwa pole king'oko. arosto naiogopa sana. mia
 
mods naomba muunganishe hii picha kwenye uzi huu
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1371139998826.jpg
    uploadfromtaptalk1371139998826.jpg
    40.1 KB · Views: 467
jamani mambo ya kukaa vijiweni kuvuta bangi mbaya sana.
Ujoka huanzia hukohuko leo unagongeshea bangi ya mshikaji wako
Stimu unayoipata ni kiboko kumbe mwenzio anachanganyia unga.
Nawewe utaiga kidogokidogo kuchanganyia mwisho wa cku unakuwa umebobea chakula chenyewe chips yai.
Nawashangaa wanaosema bora bangi wakat tatizo huanzia huko

usijudge sana mkuu,yote maisha
 
Hawajui pipi ya kijiti ndio inajenga shape
mashuga daddi kila siku wana bugi stape
pipi nzuri inanukia hainuki
ndio maana inafichwa haiachwi uchi
pipi ya demu mtu mwingine simpi


RIP Langa
 
jamani mambo ya kukaa vijiweni kuvuta bangi mbaya sana.
Ujoka huanzia hukohuko leo unagongeshea bangi ya mshikaji wako
Stimu unayoipata ni kiboko kumbe mwenzio anachanganyia unga.
Nawewe utaiga kidogokidogo kuchanganyia mwisho wa cku unakuwa umebobea chakula chenyewe chips yai.
Nawashangaa wanaosema bora bangi wakat tatizo huanzia huko

Mimi nashauri kile kijiwe cha KING'OKO pale kijitonyama kifungwe sababu ndio kijiwe cha kuuza na kununua Unga.
mia
 
duh kweli mwaka huu kazi ipo.lakin jammaa si aliacha kula unga?au allirudia tena?
 
Back
Top Bottom