Msanii Langa afariki Dunia!

Msanii Langa afariki Dunia!

Kile kijiwe wote asilimia kubwa ni watu wa sembe. babuu wa kitaa ndo sasa hivi boss wao kiasi kwamba akija wanampigia makofi. ambaye nahisi lakini sijashuhudia ni masele cha pombe. kwa ufupi kile kijiwe wote ni manyoka. dark master, mangwair, rado, coin nk wanashinda kule wakitoka pale wanaenda kulala. Sasa hivi wamepoteza watu wawili (ranga na ngwair) ndo maana nikasema king'oko ifungwe. kuna kipindi liz1 alikua anajipitisha pale. mia

kuna dogo anaitwa Ismail ndiye alietunga hilo jina la king'oko ni mdogo mama Salma
 
Once ur In always In...
Unafikiri kuacha poda ni sawa na kuacha mke au hawala?
poda nyoko,,,

hehehehe,najua ni kazi lakin ndo wajitathmini sasa ili waache japo ngumu ,mimi nimemshuhudia ndugu yangu unga ulivomtesa had anaingia kaburini
 
duh kweli mwaka huu kazi ipo.lakin jammaa si aliacha kula unga?au allirudia tena?
aliacha, kuna siku alikuwa katika interview na Sauda Mwilima wa star TV akasema kwamba ameacha kabisa tena akatoa wimbo wa kuwaasa wenzio nao waache, da rest in peace langa.
 
langa.jpg

Msanii wa hip hop nchini kwa jina la langa amefariki katika hosipitali ya muhimbili kwa malaria ghafra. habari zinasema kuwa amefariki kwa malaria kali!
mmmmh,,,,,haya
 
kuna dogo anaitwa Ismail ndiye alietunga hilo jina la king'oko ni mdogo mama Salma
Mkuu mimi staki kung'olewa kucha. asingekuwa ismail babuu asingekuwa clouds. si unajua ismail atakacho kiongea kwa shem kinapita bila kupingwa? shemeji na clouds damu damu. ndo maana Liz huwa anapita pale king'oko kusalimia!. hahahaaaa....!!! mkuu usitake ning'olewe meno na kucha bila ganzi. R.I.P. Langa. mia
 
Sad news n great loss indeed.I knw th dude from primary school to O level at Loyola,he could hav made it so far kama tungekuwa na institutes za kuendeleza vipaji.at Olimpio I knew he could draw sana tu,then later had passion for music wit hz crew Wu-Tang wa Loyola.I can't believe all this is gone,R.I.P comrade

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

sikujui kweli weye? :ballchain:
 
Hivi ray c mzima?
R.i.p langa kileo
lord eyez,daz baba, wanakuja
 
First time kumuona huyu mnyamwezi long time yuko form two alikuwa tozi sana katika show off za kila sunday pale slipway akiwakilisha loyola mimi na wanangu tukiwakilisha mary mary!years later nikakutana nae na kuchill nae mitaa ya kino ila this time kawa msela mbaya na nuru ya muonekano imepotea kapiga gwanda kama kawa ni ukweli usiojificha gwanda kaanza kuzigonga kabla ya dr slaa!!!!leo nasikia amevuta!dah...mnyamwezi alikuwa anaandika sana sema wabongo sijui nyimbo wanasikilizaga vipi kwani wachache tulikuwa tunamuelewa langa katika lyrics!RIP soldier langa
 
Rest In Peace Langa. Too sad.
Kweli kifo ni cha wote lakini ni vile hatujui siku tutakayoondoka. MUNGU akulaze mahali pema.
 
Back
Top Bottom