Msanii Lulu ajishushia hadhi kwa kuendekeza pombe!

Msanii Lulu ajishushia hadhi kwa kuendekeza pombe!

Status
Not open for further replies.
Hpa akiwa kabla hajavua na akiwa na rafiki yake baada ya kugida bia...

lulu5.jpg

IMG_3813.jpg
rafikiwalulu7.jpg

Hakuna nguo aliyovaa hapo wazazi tuna kazi kweli!!
 
Hakuna nguo aliyovaa hapo wazazi tuna kazi kweli!!

ooooh ma GOD i can imagin how this lady ameweza kuwagusa 200 plp ,,,baby uko juu lulu ukiacha mapungfu yako..i salute u
 
Hicho kitambi si bia za ofa na nyama choma! kaaaaaaaaaaazi kweli

eeeh na wewe kamnunulie ukiongozee ubaki na ukumbusho ukimwona aisee kile kitambi nimekitumikia..usione vyameremereta avijatengenezwa kinondoni cementry
 
kweli mtoto kawa mkubwa kuliko hata dada zake te te te teh,vyote vina mwisho pia malezi kutoka kwenye familia yake yanaonekana ni ya aina hiyo anavyofanya!kumbuka mtoto humleavyo ndivyo hakuavyo.
 
Kalikuwa katupu kabisaa hiih ihihi bado ninayo pic waitaka?? hahhaha hahhah sipati picha kakifikisha miaka 20 mhh

hapana maria roza nitajisikia uchungu sana kumuona huyu kiumbe mdogo akiwa mtupu,sitaki kuziona!
ingekua ndani ya uwezo wangu ningezidelete picha zake zote hizo za utupu zisizagae mitandaoni,ni mdogo sana zitakuja kum-cost sana hapo baadae,sijui hata ni nini kinachokahangaisha hivi,ndo hivyo tena kameshachanganyikiwa,hapo hata ukikafatilia kukaonya katakuona mshamba na labda mvua ya matusi juu.
 


Hapa kanajitetea eti we picha zote hizo unabisha nini sasa? Bila aibu kanasema vile ndivyo alivyoamua kuvaa. Kweli? Hana wazazi huyu



She is beautiful, I LOVE HER, she does not deserve this, all men lets give her a break, let her focus in school do not keep hurting her for sex as you are destroying her future, have a mercy on her.
 
Last edited by a moderator:
Boma 2000 hata tukimpa break haitasaidia shule kaacha na kwa mama yake kahama anaishi na rafiki yake wa kike ambaye anamzungusha kumbi zote za starehe.Usiwalaamu wanaume kama mtoto anajileta mwenyewe wafanye nini?
 
Boma 2000 hata tukimpa break haitasaidia shule kaacha na kwa mama yake kahama anaishi na rafiki yake wa kike ambaye anamzungusha kumbi zote za starehe.Usiwalaamu wanaume kama mtoto anajileta mwenyewe wafanye nini?

wape maonyo anayostahili kupewa mtoto.
 
Mzazi wake yuko wapi? Duh kazi kweli, yupo mtoto wakati mdogo alikuwa ana akili sana ila malezi noma
 
Ndo maana JK anasema hata wakipata mimba ni viherehere vyao. Lakini pia sheria Bongo hamna au hazifuatwi? Kwa nn mtoto mdogo kama huyo aachiwe anywe pombe? Sehemu nyingine hiyo baa ingepata matatizo hata kufungiwa. Lakini Bongo aaah kila kitu sawa tu hasa ukiwa na mafisadi nyuma yako.
 
She is beautiful, I LOVE HER, she does not deserve this, all men lets give her a break, let her focus in school do not keep hurting her for sex as you are destroying her future, have a mercy on her.
Mwandishi anachemka kinoma,pia huyu lulu atumie tu kiswahili...ze thing is ...ze thing is zimekua nyingi...ofcoz kibaooooooo!aghhhhhhhustaaa upi?????
 
DSCI0571.jpg


Hii ni hivi majuzi kavaa sare ya kitchen party fulani naye aenda mfunda mwali. Mtoto ana visa huyu balaaaa!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom