Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi yule Muislam mwenzio ailiyekojolea msaafu huko bara ulaya ye hakuiona hiyo nuru!!?? Acheni kuwa watumwa wa imqni za wazungu na waarabu.Ndugu yangu kuwa muislam ni kujsalimisha kwa Muumba wako.
Uislam ni mfumo wa maisha yako kamili hapa duniani. Kutenda, kuamrisha mema na kukataa na kukataza maovu.
Lazima binaadam ujielewe upo hapa duniani kwa ajili ya nini?
Mkawasilimishe wayahudi kwanzaWewe unasubiri nini? Dunia nzima sasa hivi wanaiona Nuru ya Uislam
Usidanganyike kijana, usome Uislam.
View attachment 2696754
Ni wazi kabisa, hata moyo wake una furaha.
Msanii maarufu ambae ameshinda tuzo tofauti kwa uigizji, amesilimu.
Ni mwigizaji wa Nigeria, mtengenezaji wa filamu na mfanyabiashara, Mercy Aigbe ambaye hivi karibuni amesilimu. Kusaidia Hadithi za Uongofu wa Kiislamu.
Mercy ambae amechaguwa kw sasa aitwe Hajiya Meena amesilimu mwezi wa Ramadhan iliyopita baada ya kujifikiria kwa muda mrefdu. Mwaka huu pia amekwenda Makkah Kuhiji.
Allahu Akbar.
Hakuna cha ajabu hapo. Ni uamuzi wa mtu. Wapo wengi tu wameacha uislam na kuwa wakristo.
Hapo sasa umekasirika.Vipi yule Muislam mwenzio ailiyekojolea msaafu huko bara ulaya ye hakuiona hiyo nuru!!?? Acheni kuwa watumwa wa imqni za wazungu na waarabu.
Kuna yule mdada sijui ni msanii ama ni supastaa tuu ila ana makalio makubwa kuliko anaitwa Sanchi sijui Santo, naye kuna kipindi alibadili dini akaanza kuvaa nguo za kujisitiri.
Sijui anaendeleaje kwa sasa.
Nimejikuta namkumbuka tuu.
Ni mafikirio ya akili za Kasinde tuu, nothing else.
Huyu alipokutana na mpododo wa jamàa mmoja ana Pesa ndio akaamua kuhamia uislamu na nahisi amemzalia mtoto maana mwaka Jana alikua na mimba na bwanake ana KESI ya madawa ya kelevya,Hapo ndiyo utaelewa tofauti ya kabla na baada ya kuiona Nuru.
Atakuuliza una Dirhams? FaizaFoxyAje nimuoe sasa
ZipoAtakuuliza una Dirhams? FaizaFoxy
Mwambie unazo humuoni auZipo
Faiza bibi yangu huyu...hana baya na mtuMwambie unazo humuoni au
Haya sawa mjukuu wakeFaiza bibi yangu huyu...hana baya na mtu
Hivi kuwa Muslim ni big deal sana?! Ni kama vile hii dini Ina matatizo, na waumin wake huwa hawategemei watu kujiunga nayo,sasa ikitokea MTU maarufu akajiunga, inakuwa taarifa kubwa!Msanii maarufu ambae ameshinda tuzo tofauti kwa uigizaji, amesilimu.
Ni mwigizaji wa Nigeria, mtengenezaji wa filamu na mfanyabiashara, Mercy Aigbe ambaye hivi karibuni amesilimu. Kusaidia Hadithi za Uongofu wa Kiislamu.
Mercy ambae amechaguwa kw sasa aitwe Hajiya Meena amesilimu mwezi wa Ramadhan iliyopita baada ya kujifikiria kwa muda mrefdu. Mwaka huu pia amekwenda Makkah Kuhiji.
Allahu Akbar.