Msanii Maarufu wa Nigeria Mercy Aigbe Asilimu

Msanii Maarufu wa Nigeria Mercy Aigbe Asilimu

Hakuna dini nyingine duniani zaidi ya Uislam.

Wewe kitabu kipi ulifunsdishwa hiyo unayoifata kuwa ni dini?

Yesu mwenyewe akija leo ukimwambia "Mimi Mkristo" atakushangaa, haujuwi ukristo wala hajawahi kuusikia.
Sasa Yesu Anaujulia Wapi Uislam Ingali Uliletwa Miaka 600 Baada Ya Kifo Chake.
Acha Kudanganya Watu.Wewe Pia Ni Kati Ya Wasiojua.Neno Dini Lamaanisha Njia Iwe Kiarabu au Kiswahili Sasa Unaposema Hakuna Dini Ingine Uwe Unaelewa Maana Yake.
 
Hebu fikiri japo kidogo. Uislam unanifundisha kuwa kila muumini ni mchungaji wa kuamrisha mema na kukataza maovu.

Wewe waliokuletea "ukristo", wzungu hao, wamekuita kondoo, na wewe unafurahia kuitwa kondoo na unacheklea na kuniona mimi Muislam mjinga?


Hivi kondoo na mchungaji ni nani mjinga zaidi hapo?
Mbona Huwasemi Mabwana Zako Warabu Au Unafikiri Huo Uislamu Ulianzia Mkuranga ?
 
Dah, uemmfundishwa wapi hayo? wakati Yesu kwenye biblia ananukuliwa akisema, hakuleta amani bali kaleta upanga? Mimi kama Muislam nasema waliyoiandika hiyo biblia wamemzulia tu. Wewe unasemaje?
Wewe Ni Pepo Si Bure.
 
Mbona Huwasemi Mabwana Zako Warabu Au Unafikiri Huo Uislamu Ulianzia Mkuranga ?
Uislam ni mwema sana, tazama maneno mema kabisa kutoka kwa Muumba wako:

KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 1
2. Sifa njema zote ni za Mwenyeezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote; 2
3. Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu; 3
4. Mwenye kumiliki siku ya malipo. 4
5. Wewe tu tunakuabudu, na wewe tu tunakuomba msaada. 5
6. Tuongoe njia iliyonyooka. 6
7. Njia ya ulio waneemesha, siyo ya walio kasirikiwa, wala walio potea. 7
 
Huwa sijibu pm ya yeyote ambae sijamkaribisha kunitumia pm.

Hujajibu swali:

Wapi mnapopata hayo mafundisho kuwa Wafuasi wa Yesu ni Wakristo?

Mimi nijuavyo wafuasi wa Yesu ni Waislam.
Mbona hamkiri wala kumuamini yeye wala watumishi wa Mungu wanaofanya majukumu alioyaagiza?
 
Back
Top Bottom